Kishakuwa Mugabe,hata kama ni good danser lazima tu atatoka kwenye podium.Ni muda wake sasa wa kuondoka kwenye stage,audience imemchoka.Kwanini unafikiri Mbowe anastahi kujiuzulu?
Hakiwezi kufa yetu macho chadema kimekutana na mangapi magumu. Kumbuka raia ndo wenye ItikadiKazi ipo,Mbowe chama kinakufia hiki.Jamani sasa nchi bila upinzani si ndo itakuwa ndio mzee kila kitu.Im sad kwa kweli.It is now or never.Mbowe hebu jiuzulu uenyekiti.
Audience ipi unazungumzia?Kishakuwa Mugabe,hata kama ni good danser lazima tu atatoka kwenye podium.Ni muda wake sasa wa kuondoka kwenye stage,audience imemchoka.
hayaaHuna lolote fiksi tu ...
Ova