Mmawia
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 121,947
- 95,237
Wahenga wanasema kuwa ahadi ni deni na kwetu sisi waswahili tupo macho.
Mh Gwajima ulituahidi kuwa tayari ulushapata treni ya kutuhudumia sisi wapiga kura wako.
Tangu October 2020 hadi leo hii ni June 2021 ni miezi 8 imepita bado hatujaiona hiyo treni.
Wewe ni mchungaji hutakiwi kuwa muongo maana ukiwa muongo tayari utakuwa imekosa sifa ya kuwa mchungaji.
Mh Gwajima ulituahidi kuwa tayari ulushapata treni ya kutuhudumia sisi wapiga kura wako.
Tangu October 2020 hadi leo hii ni June 2021 ni miezi 8 imepita bado hatujaiona hiyo treni.
Wewe ni mchungaji hutakiwi kuwa muongo maana ukiwa muongo tayari utakuwa imekosa sifa ya kuwa mchungaji.