Masatu una uhusiano na Mbunge aliesaula hadharani?
Not at all!
Masatu una uhusiano na Mbunge aliesaula hadharani?
Kitendo cha kusaula kiwalo cha siri na kutaka kumvisha rijali unalionaje hili wewe kama Masatu.Not at all!
Kitendo cha kusaula kiwalo cha siri na kutaka kumvisha rijali unalionaje hili wewe kama Masatu.
Mbunge huyo ni Florence Kyendesya na alikusudia kumvalisha hiyo sidiria Mwenyekiti wa Wazazi Mkoa aitwaye Aden Mwakyonde. Ni kijana mdogo sana kwa kumlinganisha na Mama Kyendesya ni sawa na mjukuu wake.
Kyendesya alikuwa akimlalamikia Mwakyonde kwamba aliingilia kampeni za UWT Mkoa kwa kumpigia kampeni pinzani wake katika nafasi ya Mwenyekiti wa Mkoa wa jumuiya hiyo ambapo yeye alikuwa akitetea kiti hicho.
Alitoa sidiria hiyo kwa lengo la kumvalisha Mwakyonde akiashiria naye ni mwanamke kwa vile kama alivyodai Kyendesya mwenyewe aliingilia mambo ya wanawake kwa kumuunga mkono mpinzani wake anayefahamika kwa jina la Mboma.
Taarifa toka ndani ya duru za CCM mkoania Mbeya zinaeleza kuwa kitendo cha baadhi ya viongozi kumuunga mkono mpinzani wake kilimlazimisha kutumia fedha nyingi mno kuweza kukitetea kiti hicho na baadhi wanadai ni alitumia zaidi ya shilingi milioni 30!
Kwa ufupi ni kitendo cha aibu, lakini hashangazi kwani hata wakati wa ziara ya Lowasa mkoani Mbeya wakati huo akiwa Waziri Mkuu aliwahi kutamka kuwa wanaume wanaowafuatafuata wanafunzi wa kike waache upuuzi huo na badala yake wamtongoze yeye!
Ikimbukwe huyu ni mtu wa karibu sana na Apson!
Halafu mnashangaa ati kwanini Tanzania haiendelei. hebu fikiria mtu huyo kesho au keshokutwa anaenda kuwakilisha nchi yetu kwenye mikataba au mikutano ya kimataifa.
Choveki,Halafu mnashangaa ati kwanini Tanzania haiendelei. hebu fikiria mtu huyo kesho au keshokutwa anaenda kuwakilisha nchi yetu kwenye mikataba au mikutano ya kimataifa.
Tawire M-birikiwa!
Huyo ana dalili zote za ukichaa. Unajua katika hali ya kawaida hasa kwenye mikutano huwezi kuonyesha nguo za ndani zitakazoonekana ni za juu tu.
Ila siwezi kushangaa wale wakaka wa kileo wanovaa "Mlegezo" eti wanaenda na wakati. Wadada nao hatuko mbali sana tunavaa nguo vibana makalio huku vyupi vya kisasa eti THONG viko nje. Huu ni ushamba anayefanya hivyo aache tu hakuna watu wako interested.
Inawezekana huyo mama kama chupi ilionekana alikuwa akidumisha huu mfumo hewa wa kisasa.