BAK
JF-Expert Member
- Feb 11, 2007
- 124,789
- 288,015
| ||
|
| ||
|
Hata JK hajaanza leo kuteua watendaji na yeye si wa kwanza wote walio mtangulia waliteua au imekuwa nongwa kwa JK tu sometime tuwe wakweli
Huyu si juzi tuu alikuwa analalamika January Makamba kuongelea mambo ya posho nje ya vikao? Na yeye akaongelee huko huko kwenye vikao.
Hv haya mabala za kikristo mbona toka jk huwa yanatoa matamko mbona enzi ya mk hawakutoa,ha ha ha kumbe jk ni muslim
Huyu si juzi tuu alikuwa analalamika January Makamba kuongelea mambo ya posho nje ya vikao? Na yeye akaongelee huko huko kwenye vikao.