Mbunge awaficha waliofiwa Tarime

Nauliza: Hii serikali ya kisanii, kandamizi na ya kifisadi ya CCM inayo mbinu au busara yoyote ya kutatuwa mgogoro huo zaidi ya ubabe, kumpakata mwekezaji, na kutumia risasi kuwauwa raia kwa niaba ya mwekezaji huyo? Haya yote yanayotokea hayakuwapo kabla ya ujio wa mwekezaji wa mgodi, watu walikuwa wanauana kwa masuala mengine.

haya ya kina Lema ni matokeo (manifestatitions) tu ya umafia wa serikali ya CCM na mwekezaji dhidi ya wananchi ambao kosa lao kubwa ni kutaka haki juu ya rasilimali zilizo katika eneo lao, na siyo haki ya familia zilizoko huko Canada.

Nashangaa mnamkazania Lema huku kiini cha suala hamtaki hata kukiangalia. Tatua kiini, halafu yote yatajiweka sawa. Serikali ya CCM haina busara wala mbinu yoyote ya kutatua mgogoro ila risasi tu. kuna mtu wa kubisha hapa?

Bora hata hao LHRC waliosema ni bora mgodi ukafungwa kwanza ili utatuzi upatikane kwanza.
 
Nauliza: Hii serikali ya kisanii, kandamizi na ya kifisadi ya CCM inayo mbinu au busara yoyote ya kutatuwa mgogoro huo zaidi ya ubabe, kumpakata mwekezaji, na kutumia risasi kuwauwa raia kwa niaba ya mwekezaji huyo? Haya yote yanayotokea hayakuwapo kabla ya ujio wa mwekezaji wa mgodi, watu walikuwa wanauana kwa masuala mengine.

haya ya kina Lema ni matokeo (manifestatitions) tu ya umafia wa serikali ya CCM na mwekezaji dhidi ya wananchi ambao kosa lao kubwa ni kutaka haki juu ya rasilimali zilizo katika eneo lao, na siyo haki ya familia zilizoko huko Canada.

Nashangaa mnamkazania Lema huku kiini cha suala hamtaki hata kukiangalia. Tatua kiini, halafu yote yatajiweka sawa. Serikali ya CCM haina busara wala mbinu yoyote ya kutatua mgogoro ila risasi tu. kuna mtu wa kubisha hapa?

Bora hata hao LHRC waliosema ni bora mgodi ukafungwa kwanza ili utatuzi upatikane kwanza.


Hapo umenena mpiganaji. serikali ya CCM inazungukazunguka tu haina mbinu yoyote ya kutatua mgogoro huo permanently zaidi ya mitutu tu kumlinda mwenye mgodi.
 
Ni utu gani kwa kiongozi wa ngazi ya taifa kutumia vifo vya watu kisiasa.Kitendo chake cha kuteka nyara wafiwa ili mazishi yasifanyike inatakiwa kulaaniwa sana.Kama Lema ana malalamiko yoyote pamoja na kuwa mbunge wa jimbo lingine angesubiri hii miili ipumzike.Tunaomba atueleweshe sababu hasa kuleta huu uhasama ni nini.

Kama lengo la CHADEMA ni kutakuleta fujo ili nchi isiwe na amani, tunawaambia huo si utamaduni wa Mtamzania anayependa nchi yake.Na CDM haitafanikiwa kamwe.

Wewe jaribu kusoma historia za wapigania haki kokote ulimwenguni, ni lazima kuwe na loosers at the end au wahanga. Ukitaka mambo yaende kwa slow motion na kukwepa self denial ndipo hapo ambapo mtaendelea kunyanyasika na kamwe haki haitapatika. Wameamua kujitoa kwa ajili ya wanyonge hebu waache wafanye kazi hii ambayo mimi na wewe tumeshindwa kujitoa kwayo.
 
Haya mabo yanatia hurima sana.mungu atusaidie tuwe na riho ya imani maana tunakoeleka ni kubaya.
 
Inasikitisha. Hii ni kama mtu anayefanya sherehe na huku anajua jirani yake kuna msiba. Hivi baada ya mkutano na labda maandamano, wafiwa watapata faraja? Kwa nini Chadema wasianzishe harakati za kushinikiza serikali katika namna ambayo itazaa matunda na hasa kwa vile wana wanasheria mahiri ambao wanaweza hata kuanzisha mashauri mahakamani na kuwatia hatiani wale waliohusika na mauaji haya?

Kwani yaliyotokea mgodini Bulyanhulu miaka ya nyuma ambapo inasemekana wachimbaji wadogo walifukiwa wakiwa hai na wenye mgodi(muwekezaji) wakati wa purukushani za kuwafukuza kwa ushirikiano na FFU unajua Lawyers Environmental Action Team -LEAT (NGO) walifanya nini? Walitafuta ushahidi wote na wakafungua kesi lakin mwisho wa siku kiongozi wa NGO hiyo aliwekwa selo na ishu ikanyamazishwa, mimi naona hapo mpaka kieleweke kwani hata wakifungua kesi ni yale yale tu ya kuchakachua
 
Huyu mbunge sijui ana mamlaka kisheria kuteka nyara watu.Pamoja na kuvunja sheria sidhani kama akili yake ni sawa.Huwezakuwatesa wafu wasipumzike kwa amani kwa sababu zako za kisiasa.Huo ni kukosa utu.Na kama umewashikilia bila ya ruhusa toka mahakamni unatkiwa uchukuliwe atua za kisheria za utekanyi nyara.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

Naanza kupata wasiwasi na uwezo wako wa kufikiria! Yaani wewe ukiwa na silaha ni kuua tu! Hatujapewa bunduki tuue watu wasio na hatia. Kama kweli polisi walikuwa kwenye haki wanahaha nini kutaka kuwalipa fidia na kugharimikia mazishi? Ni upuuzi kudhani kuwa haki ilitendeka hapa na hili ndilo linalotufikisha hapa! Kila kitu tunamsingizia Mungu! AAAAH MUNGU NDIYE AJUAYE! Jamani angalao kwa akili zetu za nusunusu tufike pahala tuseme hii hapana! Sio mara ya kwanza hawa ndugu zetu kuuwawa! Wananchi wamechoshwa na hii hali. Guys I keep on telling people that FOOL ON ME ONCE SHAME ON YOU FOOL ME TWICE SHAME ON ME! Haiiningii akilini mtoto wa kwanza kauwawa nikasamehe wapili naye nisamehe na muuaji yuleyule! Kweli unakaa kimya tu! Believe me if you dont act on it you are next! Kuua kwa kujaza matumbo ya wachache! Nguvu kazi ya taifa hili inauana na viongozi wetu wanaangalia na zaidi wanatudhihaki! Eti tutagharimikia mazishi! Ni nani ambaye alikufa tukashindwa kumzika! Tutawapa pole ya shs 3,000,000! Huku kaacha watoto ambao hawana baba! Tunamwandaa vipi watu wetu ili mkifika huko kwenye projection yenu ya 2025 waweze kukabiliana na utajiri ambao mnajinadi kuwaachia!

Mikono ya walioko madarakani imejaa damu. Damu hii ndiyo itakayowatafuna hata kiama. Mnapochimba kaburi letu basi chembeni na lenu maana wakati huo sisi hatutakuwepo kuwachimbia kaburi lenu! Ni aibu kumuua mwanao ili umwokoe mtoto wa mwingine!
Nakwambia hao mnaowaita WAWEKEZAJI hawana jema nanyi hata dahari! NI WEZI TU KWA KUTUMIA NGOZI NYINGINE. Na sasa mtaongeza urefu wa magereza yenu zaidi maana haya mliyonayo yanarukika kwa urahisi zaidi!
 
Kwa hiyo hao wavamizi wangeachiwa wafanye wanavyotaka sio, hiyo ndio akili mliyonayo CDM.Hamjui nchi inaendeshwa kisheria.Hao waekezaji wangeuawa nani wa kulaumiwa,CDM ? I don't think so.Mshaanza kuingilia utawala wa serikali,hamjui nchi inatawaliwa na srikali ya CCM.Mlishindwa uchaguzi ,sasa hivi mnahaha kama mbwa mwizi.Hii nchi inaendeshwa kwa sheria.Mtajifunza hivi karibu in hard way.
 
Wanasiasa siku zote hutafuta umaarufu kwenye balaa. Hao cdm wanatafuta kupinda ukweli, hivi unavamiwa na kundi la watu, nawe una silaha, uwache wakuue? Loh! Haiyumkiniki kabisa. Unavamiwa na kundi la watu unafyatua risasi, kama arusha, wanataka kufanya hii dili ya umaarufu. "Mshindwe na mlegee".

Hao wawekezaji kabla ya kuwekeza huwa kitu cha kwanza wanaulizia usalama wao na mali zao utakuwaje wakiiwekeza? Ukishindwa kuwalinda hawawekezi. Na Serikali imekubali kuwalinda na imefanya vyema. Wanasias uchwara wasitake mtaji wa bure kwa hili.

Kwa akili yako umeuona mtaji wa bure hapa wewe? Mh! Watu wengine bwana.
Wewe kwa akili yako unafikiri mtaji wa wanasiasa ni kitu gani kama siyo wananchi?
Chadema ni ya Ukweli kabisa. Hongera Lema hongera Chadema.
Mtaji wa kisiasa haupatikani kwa wanyama bali kwa binadamu wenye uhitaji!
Kamatieni hapo hapoooooo!
 
Kwa hiyo hao wavamizi wangeachiwa wafanye wanavyotaka sio, hiyo ndio akili mliyonayo CDM.Hamjui nchi inaendeshwa kisheria.Hao waekezaji wangeuawa nani wa kulaumiwa,CDM ? I don't think so.Mshaanza kuingilia utawala wa serikali,hamjui nchi inatawaliwa na srikali ya CCM.Mlishindwa uchaguzi ,sasa hivi mnahaha kama mbwa mwizi.Hii nchi inaendeshwa kwa sheria.Mtajifunza hivi karibu in hard way.

Hata kama mods mtanifungia ila HUU NI ZAIDI YA UPUMBAVU!
 
Inasikitisha nahisi kukiona kimvuli cha MUNGU AKITIKISA KICHWA KUKATAA KWA MASIKITIKO HAYA YANAYOFANYWA na serikali hii ya ccm without vision, mission, wapowapo kama wapita njia. No more hope,
WAR FRONT CHADEMA LETS GO.,! Make a way...
 
Wacha mdogo wangu, hata babangu. Kama anavamia sehemu ya watu kwa kuiba na auawe na mazikoni siendi. Mwizi, Jambazi.

Unataka sema nini wewe, watu wakusanyike, waende kwa nia ya kupora na kudhuru wengine halafu wakae wanatizamwa macho tu? Nashanga! Piga ua, yeyote anae trespass, au hujui sheria za trespassing? Tena kundi zima, mnavamia sehemu waliopewa wawekezaji wafanye shughuli zao? Halafu muwachiwe, eti kwa nini? Kwa kuwa ni mdogo wake FF? Hata aingie mmoja tu uwani kwangu bila kuruhusiwa, wallahi nnamtia risasi halafu tutajuana mbele labda nisimuone! Haa, mtu aingie kwangu bila taarifa akinibaka? Na mie silaha nnayo nimuachie? Hapo hujanambia kitu babuwee.

wewe unakubaliana na yale maji ya sumu wanayonyweshwa? Utajiri wao unaporwa waangalie tu? Acha ujinga bwana.
Unazidi kutufundisha uoga, Mf. Mimi niliibiwa na wezi fulani, nikawakamata waalifu kwa nguvu zangu baada ya Polisi kugoma, mimi ni mtaalam wa mapigano lakini sikutaka kuchukua hatua mkonono, nikawakamata bila kuwaadhibu nikawafikisha kituoni lakini baada ya kuondoka kituoni hawakukaa hata dk 20 nikakutana nao mtaa wa pili, wakawaibia tena wengine zaidi ya 20 mil, wakaachiwa pamoja na walikamatwa na mali lkn hawakukaa hata saa moja, kesi ikawa ngumu maana hugawana na Polisi, wakamwibia mke wangu tena, nikaamua tu kuwajulisha Polisi lakini msako nikafanya mwenyewe, nikawakamata nikavunja meno yote, mikono na miguu eti Polisi ndo wanaanza kunilaumu, nikaamua kutangaza vita sasa hivi Polisi wananiheshimu hasa baada ya kujua mimi ni mpiganaji maarufu، mambo mengine kwa Tanzania tunatakiwa tulazimishe vinginevyo tutaachwa tukichekwa. Mali imeshaondoka tunaachiwa mashimo tu.
 
Hana lolote zaidi ya uwendawazimu alionao unaosababishwa na hicho kitu anachovuta na tunaamini ya kwamba hatamaliza muda wa kipindi chake cha ubunge kabla ya kuwa chizi moja kwa moja mwambieni ache kuvuta ukubwani haipendezi

Unateswa na wivu tu. Chadema noma wewe ndiyo feki tu.
 
Huyu mbunge sijui ana mamlaka kisheria kuteka nyara watu.Pamoja na kuvunja sheria sidhani kama akili yake ni sawa.Huwezakuwatesa wafu wasipumzike kwa amani kwa sababu zako za kisiasa.Huo ni kukosa utu.Na kama umewashikilia bila ya ruhusa toka mahakamni unatkiwa uchukuliwe atua za kisheria za utekanyi nyara.

Watu wengine wanaongea utafikiri hawajaswaki, hawajui ku-cham-b-a, hawana ubongo, na mengine mengi. Hivi wewe na Lema nani hana akili?? Hujajitambua, siku ukijitambua urudi hapa JF ili tujenge nchi. JF si ya wenye mawazo mgando kama yako kwa kushindwa kupambanua vitu ambavyo hata mtoto mdogo anavipambanua. Sw--i--ne wewe
 
Nimefuatilia hotuba ya Mheshimiwa Freeman Mbowe akizungumzia mauaji na vurugu zilizotokea kule Tarime baada ya kile kilichodaiwa wananchi kutaka kuvamia mgodi wa Barrick huko Nyamongo. Mheshimiwa Mbowe alikaririwa akisema amemtuma Mh. Godbless Lema na Mh. Ester, lakini pia amewatuma wanasheria wa chama kwenda kuhakikisha kwamba mazishi ya wahanga hao hayafanyiki bila kufanyiwa postmortem. Alimalizia kwamba yeye na timu yake wanaelekea huko na kuendesha harakati mpaka kieleweke.

Nimeitafakari kauli hii na nimekuwa nikijiuliza kama hatua hizo zinalenga kutatua kiini cha mgogoro au kina nina ya kuleta taharuki na pengine kuchochea hasira ambazo hatimaye zitaleta maafa zaidi kwa wananchi wa eneo hilo na mwisho wa siku wakubwa hawa kurejea Dar es Salaam huku wale waliowachochea wakiwaacha wanaendelea kumalizana. Je hali hii haiwezi kuleta uvunjivu mkubwa wa amani katika sehemu hii ya nchi yetu? Je kwa kufanya hivi kweli Chadema kinawasaidia wananchi hawa ambao mpaka sasa wana uchungu wa kuondokewa na wapendwa wao? Je Chadema wangependa kuwafanya wana Tarime waendelee kuwa katika hali ya majonzi kwa muda mrefu wakati hatima ya uchunguzi huo haitaleta taarfia tofauti na ile ya kwamba watu hao wameuawa na polisi, kama ambavyo polisi wenyewe wamekiri? Kwanini wasije na majawabu juu ya kile ambacho kinaweza kufanyika dhidi ya polisi kama itabainika kwamba nguvu waliyoitumia haikustahili kwa mazingira ya tukio hilo?

Mimi naogopa kwamba inawezekana hatua hii ya Chadema kuhamishia harakati Tarime inaweza kuwa ni kuongezea petroli katika moto unaowaka! Naomba kutoa hoja.
Ndugu yangu,wanachotaka watu wa tarime na ambacho wana cdm wanaenda kuwasaidia ni ukweli kujulikana na wahusika kuchukuliwa hatua ili isitokee tena full stop! Yaani unaogopa kushinikiza haki! Mbona huogopi ikiwa serikali haitawatendea haki raia wa huko kwa kuwawajibisha wahusika pia itasababisha fujo? Upo tayari wananchi wawe wapole kila wanapoonewa? Mbona huja shauri serikali ifate utaratibu wa kisheria ili kulinda amani? Unasema kuwafariji wafiwa ebu fikiria umefiwa wewe,faraja ni kupewa chakula na vijisenti vya ubani au haki ipatikane ili tujifunze.Mbona hofu yako imelala upande mmoja tu wa wanaodai haki na si watoa haki?kumbuka principle ya amani ni Haki kwanza amani inafuata,lakini kwa maelezo yako ni kinyume Amani kwanza then haki!
 
Nimefuatilia hotuba ya Mheshimiwa Freeman Mbowe akizungumzia mauaji na vurugu zilizotokea kule Tarime baada ya kile kilichodaiwa wananchi kutaka kuvamia mgodi wa Barrick huko Nyamongo. Mheshimiwa Mbowe alikaririwa akisema amemtuma Mh. Godbless Lema na Mh. Ester, lakini pia amewatuma wanasheria wa chama kwenda kuhakikisha kwamba mazishi ya wahanga hao hayafanyiki bila kufanyiwa postmortem. Alimalizia kwamba yeye na timu yake wanaelekea huko na kuendesha harakati mpaka kieleweke.

Nimeitafakari kauli hii na nimekuwa nikijiuliza kama hatua hizo zinalenga kutatua kiini cha mgogoro au kina nina ya kuleta taharuki na pengine kuchochea hasira ambazo hatimaye zitaleta maafa zaidi kwa wananchi wa eneo hilo na mwisho wa siku wakubwa hawa kurejea Dar es Salaam huku wale waliowachochea wakiwaacha wanaendelea kumalizana. Je hali hii haiwezi kuleta uvunjivu mkubwa wa amani katika sehemu hii ya nchi yetu? Je kwa kufanya hivi kweli Chadema kinawasaidia wananchi hawa ambao mpaka sasa wana uchungu wa kuondokewa na wapendwa wao? Je Chadema wangependa kuwafanya wana Tarime waendelee kuwa katika hali ya majonzi kwa muda mrefu wakati hatima ya uchunguzi huo haitaleta taarfia tofauti na ile ya kwamba watu hao wameuawa na polisi, kama ambavyo polisi wenyewe wamekiri? Kwanini wasije na majawabu juu ya kile ambacho kinaweza kufanyika dhidi ya polisi kama itabainika kwamba nguvu waliyoitumia haikustahili kwa mazingira ya tukio hilo?

Mimi naogopa kwamba inawezekana hatua hii ya Chadema kuhamishia harakati Tarime inaweza kuwa ni kuongezea petroli katika moto unaowaka! Naomba kutoa hoja.

It goes both ways....

Hatua hii ya Chadema inaweza kuwa ni harakati za mwanzo mwanzo za kutaka kuondoa petroli jirani ya moto unaowaka.
 
Stupid oppsition is the one doesn't understand law and order.What the government would if some is coming to kill others.If CDM doesn't know law it should be abolished.
 
Lema ni sawa na haowaliofanya uvamizi,ametumia chombo chochote cha sheria ya nchi kfanya maamuzi yake ,au sheria mkononi utekaji nyara.ana mamlaka gani ya kufanya haya mambo bila ya kushirikisha serikali.anatakiwa achukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufanya uchochezi ili watu wauane zaidi.
 
Lema ni sawa na haowaliofanya uvamizi,ametumia chombo chochote cha sheria ya nchi kfanya maamuzi yake ,au sheria mkononi utekaji nyara.ana mamlaka gani ya kufanya haya mambo bila ya kushirikisha serikali.anatakiwa achukuliwa hatua kali za kisheria kwa kufanya uchochezi ili watu wauane zaidi.

Ashirikiane na serikali, kuna serikali kumbe Tanzania...wewe kweli unatokeo Zambia unawapandisha jk na kikundi cha wahuni ni serikali. Endelea kuwa na hope, Lema na cdm tutaendelea kuwaelimisha wananchi mpaka ccm wajue kwamba ukiwapiga wananchi tena risasi tunakuja huko mliko na jeshi letu. Good job Lema na wananchi wote Tarime.
 
Back
Top Bottom