Mbunge Abbas Talimba: Tanzania inahitaji maendeleo ya haraka

Wang Shu

JF-Expert Member
Feb 1, 2014
2,563
3,708
Akisifu na kupongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu kuhusu tozo za miamala. Akiwa kwenye mahojiano katika luninga, EATV kipindi cha joto la asubuhi alisema "Watanzania wataumia kidogo kuliko manufaa watakayo yapata kwenye tozo za miamala"

Pamoja na mengi aliyozungumza ni pamoja kwanini serikali ilishusha kodi kwenye betting alisema " Serikali ilikuwa inapoteza mapato makubwa kwa sababu wanaoweka dau kubwa zaidi hubeti kampuni za nje kukwepa kodi za ndani"

Pia amewahakikishia wananchi wa jimbo lake kuwa ataleta mabadilko ya maendeleo kwa haraka katika uongozi wake.

Pia yupo kwenye Kamati ya Bunge la bajeti alisema wabunge waliopo bungeni sio waoga na wanatoa hoja zenye mashiko wakati mwingine ni za kuishambilia serikali yenyewe.
 
Akisifu na kupongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu kuhusu tozo za miamala
Akiwa kwenye mahojiano katika luninga, EATV kipindi cha joto la asubuhi alisema
"Watanzania wataumia kidogo kuliko manufaa watakayo yapata kwenye tozo za miamala"
Pamoja na mengi aliyozungumza ni pamoja kwanini serikali ilishusha kodi kwenye betting alisema
" Serikali ilikuwa inapoteza mapato makubwa kwa sababu wanaoweka dau kubwa zaidi hubeti kampuni za nje kukwepa kodi za ndani"
Pia amewahakikishia wananchi wa jimbo lake kuwa ataleta mabadilko ya maendeleo kwa haraka katika uongozi wake.
Pia yupo kwenye kamati ya bunge la bajeti alisema wabunge waliopo bungeni sio waoga na wanatoa hoja zenye mashiko wakati mwingine ni za kuishambilia serikali yenyewe.
Kesho atakuja kumsifu Rais wakibadilisha viwango.
 
Na Tozo zikiondolewa ama kupunguzwa atakuja pia kupongeza huo uamuzi, maana tozo zilikuwa zinawaumiza wananchi
 
Akisifu na kupongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu kuhusu tozo za miamala
Akiwa kwenye mahojiano katika luninga, EATV kipindi cha joto la asubuhi alisema
"Watanzania wataumia kidogo kuliko manufaa watakayo yapata kwenye tozo za miamala"
Pamoja na mengi aliyozungumza ni pamoja kwanini serikali ilishusha kodi kwenye betting alisema
" Serikali ilikuwa inapoteza mapato makubwa kwa sababu wanaoweka dau kubwa zaidi hubeti kampuni za nje kukwepa kodi za ndani"
Pia amewahakikishia wananchi wa jimbo lake kuwa ataleta mabadilko ya maendeleo kwa haraka katika uongozi wake.
Pia yupo kwenye kamati ya bunge la bajeti alisema wabunge waliopo bungeni sio waoga na wanatoa hoja zenye mashiko wakati mwingine ni za kuishambilia serikali yenyewe.
Bila yeye kulipa kodi?
 
Na Tozo zikiondolewa ama kupunguzwa atakuja pia kupongeza huo uamuzi, maana tozo zilikuwa zinawaumiza wananchi
EATV wamesema watamualika tena maana ana mambo mengi muhimu watanzania wajue, usishangae akatengua kauli.
 
Akisifu na kupongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu kuhusu tozo za miamala. Akiwa kwenye mahojiano katika luninga, EATV kipindi cha joto la asubuhi alisema "Watanzania wataumia kidogo kuliko manufaa watakayo yapata kwenye tozo za miamala"
Hivi huyu kweli yupo vizuri upstairs ? Watanzania watatafuta njia mbadala Hivyo kampuni za Simu na Mawakala na Serikali zitaathirika kwenye mapato.

Kwahio Serikali ishushe kodi kwenye betting ili ipate mapato ? Vipi kuhusu cost ya addiction, kupoteza nguvu kazi na kuongeza wacheza kamali kwenye jamii (anaangalia finacial cost pekee vipi kuhusu cost ya maisha ya watu)

Huyu Jamaa kwa wasiofaa ndio anaongoza yaani anaangalia mambo kwa reja reja na sio kwa ujumla...
 
Maendeleo ni kubadilika kwa wananchi kutoka hali duni kuwa na hali bora zaidi.
Kodi hutoka kwa mwananchi mlalahoi ikielekea zaidi kuinua hali za watawala.
Kodi kubwa/nyingi humfukarisha mlipa kodi badala ya kumuendeleza.
 
Hivi huyu kweli yupo vizuri upstairs ? Watanzania watatafuta njia mbadala Hivyo kampuni za Simu na Mawakala na Serikali zitaathirika kwenye mapato..

Kwahio Serikali ishushe kodi kwenye betting ili ipate mapato ? Vipi kuhusu cost ya addiction, kupoteza nguvu kazi na kuongeza wacheza kamali kwenye jamii (anaangalia finacial cost pekee vipi kuhusu cost ya maisha ya watu)

Huyu Jamaa kwa wasiofaa ndio anaongoza yaani anaangalia mambo kwa reja reja na sio kwa ujumla...
alitoa mfano alisema..
Hivi karibuni mtu mmoja alishinda million 500 serikali ikachukua million 100.
 
alitoa mfano alisema..
Hivi karibuni mtu mmoja alishinda million 500 serikali ikachukua million 100.
Serikali ya Bongo ni mnuifaika wa Betting Balaa bora huko nje hukuna Tax on winnings huku jamaa wanakula pote pote...

Kwahio wamepunguziwa kodi ili iweje ili watu wengi wacheze ?

Yaani tunaongeza kodi kwenye miamala ili tupunguze watumiaji na tunapunguza kwenye Kamari ili tuongeze wachezaji ?

Au mimi ndio sielewi ? Sitashangaa kama huyu jamaa alifanya lobbying kwa wapitisha sheria (yeye akiwemo) ili kumnufaisha; Tunategemea nini kuwa na watunga sheria wacheza kamari (hata maisha yetu wanayaweka kwenye mkeka)
 
Serikali ya Bongo ni mnuifaika wa Betting Balaa bora huko nje hukuna Tax on winnings huku jamaa wanakula pote pote...

Kwahio wamepunguziwa kodi ili iweje ili watu wengi wacheze ?

Yaani tunaongeza kodi kwenye miamala ili tupunguze watumiaji na tunapunguza kwenye Kamari ili tuongeze wachezaji ?

Au mimi ndio sielewi ? Sitashangaa kama huyu jamaa alifanya lobbying kwa wapitisha sheria (yeye akiwemo) ili kumnufaisha; Tunategemea nini kuwa na watunga sheria wacheza kamari (hata maisha yetu wanayaweka kwenye mkeka)
lengo ni kuongeza idadi ya wachezaji kamari na kuwarudisha wale wanaobeti kampuni za nje ya nchi
 
😂😂😂😂

Akisifu na kupongeza maamuzi ya Rais Samia Suluhu kuhusu tozo za miamala. Akiwa kwenye mahojiano katika luninga, EATV kipindi cha joto la asubuhi alisema "Watanzania wataumia kidogo kuliko manufaa watakayo yapata kwenye tozo za miamala"

Pamoja na mengi aliyozungumza ni pamoja kwanini serikali ilishusha kodi kwenye betting alisema " Serikali ilikuwa inapoteza mapato makubwa kwa sababu wanaoweka dau kubwa zaidi hubeti kampuni za nje kukwepa kodi za ndani"

Pia amewahakikishia wananchi wa jimbo lake kuwa ataleta mabadilko ya maendeleo kwa haraka katika uongozi wake.

Pia yupo kwenye Kamati ya Bunge la bajeti alisema wabunge waliopo bungeni sio waoga na wanatoa hoja zenye mashiko wakati mwingine ni za kuishambilia serikali yenyewe.
 
Back
Top Bottom