Mbuga ya Burigi - Chato

Mbuga ya Burigi - Chato

Joined
May 3, 2019
Posts
53
Reaction score
145
BURIGI CHATO;

Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji.

Kijiografia Upepo unaovuma kutoka magharibi mwa ukanda wa Kagera hadi Chato kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla.

Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.

#Karibu Mbuga ya Burigi-Chato.
 
BURIGI CHATO;

Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji.

Kijiografia Upepo unaovuma kutoka magharibi mwa ukanda wa Kagera hadi Chato kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla.

Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.

#Karibu Mbuga ya Burigi-Chato.
Nakubaliana kabisa na hili
 
Mbona hujaongelea hali ya hewa ya mbuga ambazo wayama wamesombwa kupelekwa chato ?Je hali ya hewa inafanana ?Au tofauti ?Na kama tofauti hao wanyama watasurvive vipi ?
 
Ile Whitehouse ya Dodoma ni wastage ingejengwa chattle, chattle tunahitaji Chuo kikuu,bandari,uwanja wa Kisasa wa mpira, hospital kubwa ya rufaa,viwanda,soko kubwa LA kimataifa.reli ya SGR ipite pale kuelekea Uganda na Rwanda, tupate bandari Kavu,hadi 2025 iwe sawa na Dubai, mcheza kwao utuzwa.
 
naonelea Chattle iwe makao makuu ya East Africa na ikiwezekana hata makao makuu ya 'inji' yawepo huko

Watz tuache wivu wa maendeleo!

Chattle imebarikiwa kuliko eneo lolote LA Africa,hata Mlima Kilimanjaro ujengwe huko..INA wezekana

pia mgodi wa mererani,mwadui na hata ule wa acacia's na ile ya Barick ianzishwe huko pia.

wenye wivu wajitundike.
 
BURIGI CHATO;

Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji.

Kijiografia Upepo unaovuma kutoka magharibi mwa ukanda wa Kagera hadi Chato kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla.

Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.

#Karibu Mbuga ya Burigi-Chato.
This is plagiarism! It is an offense Mtalii wa Kisiasa. Why mara!
 
Mmm yajayo yanafurahisha. Ecosystem ya sehemu inaruhuru Hao wanyama. Kingwa usikute mnamfurahisha Rais huku mkitoka jasho jembamba mkijisemea tutafanya kl kitakachomfurahisha. Mengine atajua mradi watoto wanaenda Chooni hasara ni Ya wavunja jasho
 
Mmm yajayo yanafurahisha. Ecosystem ya sehemu inaruhuru Hao wanyama. Kingwa usikute mnamfurahisha Rais huku mkitoka jasho jembamba mkijisemea tutafanya kl kitakachomfurahisha. Mengine atajua mradi watoto wanaenda Chooni hasara ni Ya wavunja jasho
Wanyama wote waliopelekwa huko walikuwepo kabla hawaja windwa na kutokomezwa miaka ya 90
 
....hivi kweli hatuwezi kuibeba ile kreta ya ngorongoro pamoja na vilivyomo kuvihamishia burigi chato...??
Nimeuliza tu kutokana na ujinga wangu
Hiyo inawezekana sana! Kihivi: wewe si ni Mchaga, basi siku ukiwa Msubi au Msumbwa (yaani wenyeji wa Chato) ni wakati huo unaweza kubeba hiyo Ngorongoro na kuipeleka kwenu Chato. Bila hivyo utabaki Mchaga na kuendelea kuwaonea geri Wasubi na Wasumbwa ambao wamekosa maendeleo tangu Adam na Hawa waumbwe, ila awamu hii wamepata vitu vidogo sana katika maendeleo na vinatajwa sijui viwili au vitatu. Lakini vitu hivyo vinakukosesha usingizi ukivitamani wewe navyo viwe vyako. Yaani vyako tu ni wewe unayestahili-wengine wabaki nyuma.
 
BURIGI CHATO;

Hali ya hewa ya ukanda wa Kagera hadi Chato ina mvua za misimu mitatu ya mvua kwa mwaka hivyo ukame ni nadra sana kutokea katika ukanda huo. Na kwa sababu ya kuwa upande wa magharibi wa ziwa Victoria, upepo unaovuma kuelekea nchi kavu unasafirisha hewa yenye umajimaji.

Kijiografia Upepo unaovuma kutoka magharibi mwa ukanda wa Kagera hadi Chato kwenda mashariki, unakuwa na mvuke kutoka msitu mkubwa wa Kongo. Na kutokana na ziwa kuna mawingu ya Cb (Cumuloninbus) yanayo leta mvua nyingi inayo ambatana na radi siku 215 kwa mwaka katika sehemu hizo za Chato na Kagera kwa ujumla.

Majani na miti hubaki ya kijani (evergreen ) mwaka mzima.

#Karibu Mbuga ya Burigi-Chato.
Joined 3 may 2019
 
Back
Top Bottom