Kawe Alumni
JF-Expert Member
- Mar 20, 2019
- 8,686
- 12,013
Kawe eeh! Kwanini unasema hatakiwi na system? Kwani uongozi si unapaswa kuchaguliwa na wananchi kwa democracy?
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Na kwenu atagombea Askofu Malasusa.Afadhali agombee Askofu Bagonza!
Hata nyie wachaga mtamkataa!!!Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Kwahio?Hafai kuwa msindikizaji wa uraisi
Nani anapenda kukaa karibu na mzoga! Walishakufa so wakae makaburini sio kutufanyia fujo mitaaniCDM inawatoa jasho. Mnatumia miguvu yote ya Nini kwa chama kilichokufa?mnaogopa maiti? Vitisho, Ubabe, na matumizi ya hovyo ya taasisi za serikali ya Nini ikiwa mnaamini CDM imekufa?
Duh.. Tayari msukule wa Mbowe huu hapaHuu uzi umeandikwa kimuhemko sana, siku nyingine kabla hujaandika kunywa maji kwanza.
Mnajidai kuijua siasa lakini bahati mbaya hamjui hata taratibu zinazoongoza hiyo siasa yenyewe, wewe kutomtaka Mbowe hakuwafanyi na wengine wasimtake, tulia process zifuatwe atakaeonekana anafaa mwisho wa siku atateuliwa, huku kukurupuka kwenu hakusaidii, Chadema sio chama cha mtu kina taratibu zake.
Halafu unavyosema hata nyie wachaga mtamkataa unamaanisha nini? hapo naona ume expose your highest degree of stupidness, Chadema iko Iringa, Mbeya, mpaka Musoma, wacha ujinga wewe.
Eti nakuhakikishia... nakuhakikishia... who are you, bullshit.
Akili ya muoga...wafu wanakufanyieni fujo tena?😂😂😂😂Nani anapenda kukaa karibu na mzoga! Walishakufa so wakae makaburini sio kutufanyia fujo mitaani
Nakuona unahamu ya kusuguliwa na mimi.Duh.. Tayari msukule wa Mbowe huu hapa
Umeshapanic msukuleNakuona unahamu ya kusuguliwa na mimi.
Utoto tu!.Kwanini mnalazimisha Lissu agombee peke yake? Kwanini msiache vikao vya chama chenu viamue?hahahahaha mambo ya demokrasia hayo
Kwanini nisi-panic na nimekuona ulivyoumbika huko nyu..!Umeshapanic msukule
Amekihujumu chama kivipi? Chuki zako binafsi kwa Mbowe usihamasishe na kwa wengine. Mbowe ana mapungufu lakini kaifanyia makubwa mno Chadema.Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Akae pembeni akagongee nyagiKwahio?
Unaonaje ungegombea huo Uenyekiti ili uonyeshe hizo mbinu za kimkakati?Sijui Mbowe haoni aibu?
Cdm imedhoofu ameshindwa vita, asisingizie watu kuhongwa pekee naye amekosa mbinu za kimkakati.
Aachie kugombea abaki kuwa mdhauri hilo linamfaa
Ni bora Mbowe ataleta wabunge hata watatu ila mkijikoroga mkampa mropokaji hata diwani hampati. Hatakiwi na system
Bora wewe umesema wazi kuwa chadema ni chama cha wachagga hahahaha
Ujuaji feki na ukurupukaji ndio unasababisha haya.Hata nyie wachaga mtamkataa!!!