Amegombea sababu ni haki yake na amejipima vigezo pia.Kwamba yeye kama mwwnyekiti hajui vigezo vinavyohitajika kuwa mgombea wa urais?
Kumbukumbu zangu zinaniambia lazima mgombea awe na shahada je mheshimiwa Mbowe anayo hyo digrii?
Achilia mbali hujuma na mbinu chafu za CCM,kwa mtazamo wangu wapinzani hajujajipanga kuongoza nchi.
Lakini sio mbaya wajukuu zetu watakuja kuiong'oa CCM huko mbeleni sio leo wala kesho.
Nahisi hata hujui ulichoandika, now prove me wrong; hebu tuwekee hapa hizo mbinu zako za kimkakati unazozungumzia, atleast weka mbinu mbili tu.Sijui Mbowe haoni aibu?
Cdm imedhoofu ameshindwa vita, asisingizie watu kuhongwa pekee naye amekosa mbinu za kimkakati.
Aachie kugombea abaki kuwa mdhauri hilo linamfaa
Bora akili zimeanza kurudi sasaPara ya mwisho nimeielewa zaidi, huu siku zote ndio mtazamo wangu kuhusu Mbowe.
Mkuu mchezo uliopo hapo utaupenda hakuna mfano. Mbowe usimfikirie hivyo unavyofikiri, jina lake halitapitishwa na Chama na kwa kuwa yeye kama mwenyekiti hata lalamika makundi ya kulalamika kwa watia nia wengine yatawezaje kuanzishwa?Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Ukweli mchunguLeo umekula maharage ya wapi?
CDM inawatoa jasho. Mnatumia miguvu yote ya Nini kwa chama kilichokufa?mnaogopa maiti? Vitisho, Ubabe, na matumizi ya hovyo ya taasisi za serikali ya Nini ikiwa mnaamini CDM imekufa?Chama alishakizika toka 2015 labda kama kuna utaalam wa kuzika kitu mara 2
Mbowe ndiye chama acha utotoMkuu mchezo uliopo hapo utaupenda hakuna mfano. Mbowe usimfikirie hivyo unavyofikiri, jina lake halitapitishwa na Chama na kwa kuwa yeye kama mwenyekiti hata lalamika makundi ya kulalamika kwa watia nia wengine yatawezaje kuanzishwa?
Chama kitabaki kua kimoja katika safari ya kumuwajibisha dikteta
Utanisoma kwingine na kusema zimepotea mkuu, ukifia chama fulani au kuwa conservative sana huwezi kuelewa ninachomaanisha.Bora akili zimeanza kurudi sasa
Hebu elezea chama kinakufaje?Mwaka huu chadema wakitaka ahueni kdg, waende na Lissu, otherwise baada ya uchaguzi chama kitakiwa kimekufa rasmi
Mkuu punguza hasira kama ilivyo ccm na vyama vingine kila chama kina mikakati yake ya ushindi ikiwemo CHADEMA cha msingi jikite katika kutoa ushauri ya kwamba nini kifanyike kati ya chama flani kushinda chama kingine nini kifanyike basiKama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Hakika !Kuwa mpole mwana. Kesho ni nzuri kuliko jana
Taratibu wajomba , tunajenga chamaHuu uzi umeandikwa kimuhemko sana, siku nyingine kabla hujaandika kunywa maji kwanza.
Mnajidai kuijua siasa lakini bahati mbaya hamjui hata taratibu zinazoongoza hiyo siasa yenyewe, wewe kutomtaka Mbowe hakuwafanyi na wengine wasimtake, tulia process zifuatwe atakaeonekana anafaa mwisho wa siku atateuliwa, huku kukurupuka kwenu hakusaidii, Chadema sio chama cha mtu kina taratibu zake.
Halafu unavyosema hata nyie wachaga mtamkataa unamaanisha nini? hapo naona ume expose your highest degree of stupidness, Chadema iko Iringa, Mbeya, mpaka Musoma, wacha ujinga wewe.
Eti nakuhakikishia... nakuhakikishia... who are you, bullshit.
msaliti!Kama utang'ang'ania kuwania Urais, unaenda kukizika chama rasmi acha ubishi. Mimi wakati unagombea uwenyekiti nilitoka wazi wazi na kukupinga kuwa haikuwa sahihi, sasa unataka kurudia makosa yale yale uliyofanya kugombea uwenyekiti zaidi ya miaka 15.
Kama ni urais ulishagombea mwaka 2005 na ukapata kura laki 6; huu ni zaidi ya utoto unaotaka kufanya bora hata kumpa nafasi Mnyika au mwanamke, lakini sio wewe zama zako zimepita.
Nakuhakikishia hautapata kula milion 1 hata sisi Wachagga tutakukataa haiwezekani ukifanye chama kama mali yako binafsi kama unaitumikia CCM sema maana umekihujumu chama vya kutosha.
Na gwajima ni mwenyekiti wa CCM wa wapi vile?Ha ha ha huyo ni mwenyekiti wa Chadema kanda ya Ziwa Magharibi
Kawe eeh! Kwanini unasema hatakiwi na system? Kwani uongozi si unapaswa kuchaguliwa na wananchi kwa democracy?Ni bora Mbowe ataleta wabunge hata watatu ila mkijikoroga mkampa mropokaji hata diwani hampati. Hatakiwi na system