Mbowe uko nyuma ya sakata la Lengai Sabaya

Mbowe uko nyuma ya sakata la Lengai Sabaya

mwananyaso

JF-Expert Member
Joined
Feb 19, 2017
Posts
2,995
Reaction score
3,402
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.
kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai.
Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani na vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.
Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
Yaani nyie vijana wa CCM ni wapumbavu kweli ina maana Mbowe huyu ndiye aliandaa kikao cha TRA ambacho ndiyo kiliibua sakata hili. Wakati mwingine bora mkae kimya kuficha upumbavu wenu,mnakidhalilisha chama chenu. Ikitokea huyo tapeli mwenzenu akiwajibishwa mtakuja tena hapa kusifia.
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.
kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai.
Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani na vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.
Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.

Inakuwaje mbowe, kwani yeye ndiye aliyemtuma?
Madahifu yenu msimsukumie mtu mwingine, ni vizuri kuwajibika na makosa yenu.
Huyo kijana katumia bila kufikiria anatumikaje. Sasa watu wanyamazetu wakati anafanya yasiyopaswa? Amlaumu aliye mteua na kumtuma, na kama akutumwa, basi awajibike.
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani na vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
Mkuu wa Wilaya angewaachia TRA , kwenda kuvamia mahoteli saa kumi alfajiri huoni kwamba yuko nje ya mipaka yake ya kazi
 
Kuna kila dalili inayoonyesha Freeman Aikel Mbowe unachochea moto kuhusiana na tuhuma dhidi ya Sabaya.

kwanza ni mahusiano yako ya karibu na mfanyabiashara na wafanyabiashara baadhi wa mahotel hapo Hai

Kulikua na figusi nyingi katika mapato ya serikali ,lakini baada ya Sabaya kuanza kuwashughulikia mmeanza zengwe.

Pia nguvu kubwa ya vijana wako mitandaoni kumshambulia Sabaya mfululizo kana kwamba tayari kapatikana na hatia wakati bado hiyo ni tuhuma.

Lingine pia ni clip walizoleta hadharani na vijana wako ,ni mwehu pekee anaweza sema huo ni ushahidi wa kuonyesha anaomba rushwa .

Ushauri wangu kwa vyombo vinavyohusika kushughulikia sakata hili kua makini sana katika kulishughulikia,msije kucheza ngoma msio ijua mkajikuta mnaingia kwenye matatizo ya kusababishiwa.

Onyesheni weledi na haki katika kushughulikia sakata hili,macho na masikio ya watanzania wote yapo kwenu,hasa mkuu wa nchi, double check lazima ifanyike dhidi ya kadhia hii.
Mkuu tumeshawajua wamo pia wapambe wa Lema wa UVCCM Arusha wanaona DC Sabaya anaweza gombea Ubunge Arusha!
 
Yaani nyie vijana wa CCM ni wapumbavu kweli ina maana Mbowe huyu ndiye aliandaa kikao cha TRA ambacho ndiyo kiliibua sakata hili. Wakati mwingine bora mkae kimya kuficha upumbavu wenu,mnakidhalilisha chama chenu. Ikitokea huyo tapeli mwenzenu akiwajibishwa mtakuja tena hapa kusifia.
Jiwe la gizani ,vibaraka wa Mbowe mmekurupuka toka pangoni,nilijua tu
 
kwa nn unafikkiri Mbowe yupo ya sakata la huyo?,umejiuliza kama ni kweli amefanya hayo au hajafanya?...mvu haitanyesha mtamsingizia Mbowe
 
Back
Top Bottom