Mbowe: UKAWA Tutaondoa Mashangingi Serikalini!

Mbowe: UKAWA Tutaondoa Mashangingi Serikalini!

Huwa simuelewi kabisa Mbowe.Hivi si alikuwa anatumia Shangingi la serikali kama kiongozi wa kambi ya upinzani,mbona hakulikataa ili kuonyesha mfano.Wapinzani wa Tanzania bado sana,itachukua muda kuingia Ikulu.

Sasa hata kama angeacha mtu moja wakati viongozi wa ccm wanaoongoza dola wameziendekeza ingeokoa nini ???!
 
Kwani Mbowe naye anagombea urais....au mimi ndiyo sielewi?
 
Kwani Mbowe ndiye aliyenunua hilo shangingi, Mbowe ndiye anatoa hizo posho?

Vyote hivyo vimefanywa na serikali ya CCM. Ndio maana anasema serikali ya UKAWA itavifuta. Is that hard to understand?
 
mbona inawezekana hakuna haja ya kuwa na gari la mil 200 kwenye wilaya wakat watoto wanakaa chini darasani au wakulima wanakopwa mazao,good focus

fuatlia uzi dogo usidandie treni kwa mbele
 
tatizo mbowe ahaminiki kwani huwa anashindwa kusimamia kauli zake alisusa hadharani shangingi la kub lakini baadae akalichukua kimyakimya alimshambulia lowasa akiwa cc lakini alipokatwa alimkimbilia na kumshawishi ajiunge sio tu na chama bali pia awe mgombea urais wao alisema hatapokea makapi ya ccm lakini si tu amepokea bali pia amewapa nafasi ya kugombea ubunge
 
Ni kweli kauza kwa bei hiyo mkuu!ni habari kamili

Sasa huyu rais wa kununua watu namna hii akiingia ikulu atafanya biashara gani kurudisha pesa zote hizo? Nilikuwa nasoma makala fulani inasema kuwa mpaka jana tarehe 21 Agosti 2015 Lowasa ameshatumia bilioni 106 kutafuta urais kuanzia ndani ya CCM miaka miwili na nusu iliyopita hadi CHADEMA aliko sasa.
 
Huwa simuelewi kabisa Mbowe.Hivi si alikuwa anatumia Shangingi la serikali kama kiongozi wa kambi ya upinzani,mbona hakulikataa ili kuonyesha mfano.Wapinzani wa Tanzania bado sana,itachukua muda kuingia Ikulu.

Unafikiri unaweza ukakataa shangingi kama unavoweza kataa zawadi ya maua toka kwa demu wako?
 
Sasa huyu rais wa kununua watu namna hii akiingia ikulu atafanya biashara gani kurudisha pesa zote hizo? Nilikuwa nasoma makala fulani inasema kuwa mpaka jana tarehe 21 Agosti 2015 Lowasa ameshatumia bilioni 106 kutafuta urais kuanzia ndani ya CCM miaka miwili na nusu iliyopita hadi CHADEMA aliko sasa.
Na wanazo nyingine tu,sema siwezi kuweka vitu hadharani mkuu!kazi ipo hii nchi yetu
 
Mbowe ni mtu makini na ana akili sana. Maashangingi ni sera ya CCM kuwanunulia mawaziri na viongozi wakuu. Kwa taarifa yako gari la KUB ni lazima sio hiari. Halikopeshwi. Sera ya CDM sio mashangingi.UPO hapo?


Mbona Viongozi wa Chadema wanatembelea Mashangingi akiwemo Mbowe mwenyewe? Kwa nini asianzie hapo kwanza? Au huko kubana matumizi anataka aanze akipewa uraisi?
 
Back
Top Bottom