abdulhamis
JF-Expert Member
- Aug 2, 2019
- 1,436
- 2,292
Habar wadau
Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya midahalo nimeweza kuangalia baadhi ya mikutano ya Mbowe na Tundu Lissu na kubaini ubora wa wote wawili kwenye majukwaa
Kwanini nasema CHADEMA wamsimamishe Mbowe kwenye uchaguzi ujao kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, ni kwa sababu Mbowe ni mzuri sana kwenye siasa za majukwaa kumshinda Tundu Lissu mbali Sana
Tundu Lissu kwanza sio mjenga hoja mzuri tuwe wakweli tumeona hata kwenye baadhi ya hotuba zake mara nyingi huwa anajikita katika kutafuta huruma kwa watu na sio kuwashawishi watu kisiasa
Hii ni tofauti na Mbowe ambae anaweza akaongea hata propaganda ambayo ni ngumu watu kuamini ila akaifanya kuwa ya kweli kwa ujanja wake wa kuweza kucheza na emotions za watu
Mbowe ndio mtu pekee anaweza akadangaya uongo ukaonekana kweli ila Tundu Lissu siwashauri CHADEMA na kama atakuwa muhimu sana kwenu Tundu Lissu basi kwenye mikutano asilimia kubwa awe anaongea Mbowe bilah ivyo itakuwa majanga kwenye jukwaa.
Katika pitapita zangu kwenye baadhi ya midahalo nimeweza kuangalia baadhi ya mikutano ya Mbowe na Tundu Lissu na kubaini ubora wa wote wawili kwenye majukwaa
Kwanini nasema CHADEMA wamsimamishe Mbowe kwenye uchaguzi ujao kama mgombea urais kwa tiketi ya CHADEMA, ni kwa sababu Mbowe ni mzuri sana kwenye siasa za majukwaa kumshinda Tundu Lissu mbali Sana
Tundu Lissu kwanza sio mjenga hoja mzuri tuwe wakweli tumeona hata kwenye baadhi ya hotuba zake mara nyingi huwa anajikita katika kutafuta huruma kwa watu na sio kuwashawishi watu kisiasa
Hii ni tofauti na Mbowe ambae anaweza akaongea hata propaganda ambayo ni ngumu watu kuamini ila akaifanya kuwa ya kweli kwa ujanja wake wa kuweza kucheza na emotions za watu
Mbowe ndio mtu pekee anaweza akadangaya uongo ukaonekana kweli ila Tundu Lissu siwashauri CHADEMA na kama atakuwa muhimu sana kwenu Tundu Lissu basi kwenye mikutano asilimia kubwa awe anaongea Mbowe bilah ivyo itakuwa majanga kwenye jukwaa.