Mbowe: Tumechoka!

ccm inavyofanya
Eti anasema amechoka, si ajiuzuru sasa.
kwanza rekebisha kiswahili ndio maana tunazidiwa na wachina, ajiuzulu sio ajiuzuru, ila ccm inavyofanya sio kabisa, yani dah, yani iko juu ya sheria, wanadanganya kuwa mahakama imezuia, mahakama inakanusha kuwa hakuna kitu kama hicho, halafu unachekelea, ati kama kachoka ajiuzulu, mie naona upo katika huo mgawo wa huo ufisadi uliogundulika
 


Hakuna anayeweza kuharibu Amani TanZania tusidanganyane wala kutishana kwa maana hakuna alikuwa juu ya Sheria za nchi yetu isipokuwa Raisi wa JMTZ!
 
Tanzania nchi yangu! Tusipokuwa makini nchi ilishatekwa! sioni logic ya kuwakamata wabunge na madiwani wakati aliyetoa zuio feki akiendelea kushangilia uraiani! hatakama tungekuwa wendawazimu tungeelewa nini kinachofanyika!!!! siku hizi siyo bao la mkono tena bali imegeuka netball kabisa ya kufunga kwa mikono miwili. Msijidanganye hili siyo jipu!!!!! hii ni kansa ambayo mgonjwa anatakiwa akatwe mguu kabisa au afe!!!!

mimi sielewi sana haya mambo viongozi wa ukawa ninyi ndo wakupelekwa mahakamani!! je ninyi hamuoni shauri lolote la kupereka mahakamani???? mbona wanasheria wazuri mnao?? sielewi!!! Mbowe utachoka sana temu hii na mwisho utakuwa mremavu kabisa siku miguu hiyo ikipigwa kirungu! kaeni mpange uamuzi wa maana ambao mpaka dunia itajua nini kinachoendelea!!!
 
Nionavyo mimi ni kwamba viongozi wachache kutoka vyama vyetu vya upinzani wanapenda kufanya vitendo vinavyoambatana na jazba kwa lengo la kuwaridhisha wapiga kura wao bila kujua kwamba vitendo hivyo ni kinyume cha sheria za nchi matokeo yake wakikamatwa wanasingizia kuonewa. Hakuna mtu ambaye yuko juu ya sheria zilizopo ukituhumiwa kuzivunja huna budi kukamatwa na ufikishwe mbele ya mahakama
 
Aisee Chadema mngejua tu jinsi mnavyotuchosha na siasa zenu za magazeti na TV, mngetafuta tu namna nyingine ya kufanya siasa mtupumzishe na huo utoto wenu, sasa nani atamjua halima au lijualikali bila kujikamatisha kwa polisi halafu kesho yake atangazwe kua kakamatwa, halafu mbowe aseme kua amechoshwa tulijua tu lazima mbowe aseme hivyo ili kujipatia media coverage baada ya Chadema kudoda, hiyo ni nitoke vipi ya wanaukawa, tufanye shughuli zetu tuachane na watafuta umaarufu kupitia magazeti na TV.
 
Hakuna anayeweza kuharibu Amani TanZania tusidanganyane wala kutishana kwa maana hakuna alikuwa juu ya Sheria za nchi yetu isipokuwa Raisi wa JMTZ!

Hata Rais hayupo juu ya sheria. Na amani hujengwa kwenye misingi ya haki na usawa. Unapokuwa na Dola inayokandamiza upande fulani ni hatari kwa mustakabli wa nchi...hii ni fact ndugu sio vitisho. Mifano ipo lukuki dunia nzima kila Bara kihistoria.
 

Aliyepeleka zuio feki la kuzuia uchaguzi yuko juu ya sharia>?
 
Sasa kama Mwenyekiti wetu anaishia kulalamika, sisi mashabiki tutafanyaje? Haya ndo madhara ya chama chetu kuongozwa na mtu ambaye hajapevuka kisiasa. Bora Mwenyekiti awe Lowasa, mzee wa maamuzi mahumu
That's immature argument
 
Dua la kuku? Kulaani kumeshasaidia vipi?
 
Very narrow mind! Poor you.
 
Na Sisi tumechoka yeye kuendelea kuwa mwenyekiti wa chadema TANGU miaka nenda rudi.
 
Aisee hivi unakunywa kinywaji gani, weekend nitafute bill on my wallet.
[HASHTAG]#HAPAKAZITU[/HASHTAG]
 
Hakuna anayeweza kuharibu Amani TanZania tusidanganyane wala kutishana kwa maana hakuna alikuwa juu ya Sheria za nchi yetu isipokuwa Raisi wa JMTZ!
Mkuu vipi yule aliyetoa zuio feki,unadhani anatengeneza nini?kwa mujibu wa sheria ilitakiwa awe ndani na kupandishwa kizimbani,kwa kosa LA kudanganya na kuisingizia mahakama,lakini imekuwa kinyume chake na si ajabu akapandishwa cheo
 
Hii nchi ya ajabu sana ............. Mwnyekiti wa kijiji au Mtendaji wa Mtaa wa CCM anaheshimiwa na kuogopwa na police kuliko Mbunge wa Upinzania!!

Bora turudi kwenye mfumo wa chama kimoja tu kama North Korea, China na Cuba!!
 
Wawe na nidhamu huwezi kuitwa Mheshimiwa kama huwezi kutawala hasira, Mnamburuta mama wa watu-RAS wa Dar na kuchana nguo zake, Mbona huo udhalilishaji wa huyo mama hamulaani?
Magufuli si Kikwete hamna cha Juisi.
 

Ulitaka aongee nini mkuu?
 

Wawe na nidhamu huwezi
kuitwa Mheshimiwa kama
huwezi kutawala hasira,
Mnamburuta mama wa watu-
RAS wa Dar na kuchana nguo
zake, Mbona huo udhalilishaji
wa huyo mama hamulaani?
Magufuli si Kikwete hamna cha
Juisi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…