yeah man...hit below the beltMbowe amekuwa dhaifu mno, kama uongozi wa chama umemshinda aachie damu changa akina Mnyika. Kiongozi wa chama cha upinzani hatakiwi kuwa anakubali kila dhuluma anayofanyiwa na chama tawala na polisisiemu na kuishia kutoa matamko yasiyo na tija.
Itisha maandamano Mbowe, Lijualikali amekataliwa kupiga kura, huku Dar wabunge wanadhalilishwa wewe unaleta matamko yasiyo na tija. Hakuna hata tamko moja limeleta faida. If you cant beat them join them achia chama watu wa kazi
Unastahili kuombewa, lakini wahi dirishani lumumba kwanza.Mbowe kama kachoka aendee leba
Mbowe acheni kelele kama kweli mnaonewa. Hebu Fanyeni vitu ambavyo vitasababisha muheshimiwe na hao wanaowaonea. Kila siku mnalalamika tu kwa wananchi ambao hawana mchango wowote uleMwenyekiti wa Taifa wa CHADEMA,Freeman Mbowe amesema chama chake kimechoshwa na kukamatwa kwa Wabunge wake kwa hila za kisiasa. Akihojiwa na ITV,Mbowe amesema chama chake kinalaani kukamatwa na kudhalilishwa kwa Wabunge wake.
Mbowe amesema chama chake kinalaani hila zote na kuitaka Serikali itende haki hasa kwenye uchaguzi wa Meya wa Dar es Salaam. Leo nyumba ya Mbunge wa Kawe Halima Mdee imekaguliwa na polisi wanaosemwa kuwa walikuwa wakisaka nyaraka.
Mbunge Mdee amedai kuwa Mbunge wa Ukonga,Mwita Mwakwabe amekamatwa na polisi. Pia,Mbunge Lijualikali wa Kilombero amekamatwa na polisi.
preciselySiku nyingi sana nilisema Tz hutuwezi kuikomboa kutoka ccm, sababu moja kubwa ni kuwa 87% ya watz bado tuko kwenye ujinga wa kiwango cha juu kabisa, mantiki yake tunaendelea na evolution kwenda kuwa binadamu wa karne ya 21 na hii itachukua siyo chini ya miaka 200. Sasa kwa kuwa ccm wanaelewa vizuri hali hii ya ujinga wa watz wengi wanaitumia vizuri kwenye kila sehemu inayohitajika na napenda kutoa ushauri wa bure: Acheni kulaumu na kulaani ccm maana they are just beneficiaries of majority of Tanzanians who are ignorants. Km tunahitaji kuondoa ccm ktk kipindi cha miaka 20 ijayo ni njia ya msituni tu maana kwa njia ya sanduku la kura, licha ya kuwa hata km utashinda hutapewa, refer (Zanzibar, Arusha, Tanga na sasa Kilombero) lakini bado kuna idadi kubwa ya watz ambao bado wanaipigia kura ccm refer (idadi ya madiwani wa ccm nchi nzima na zaidi serikali za mitaa, ccm inahodhi more than 80%). Bottomline, njia ya kufikia mabadiliko ya kweli ziko mbili: 1 let's wait for evolution for several generations to come (I estimate about 200 years) to change 87% of ignorants to smart people and 2 if we want to see change happen in our lifetime msituni is the only option, hii sanaa ya uchaguzi ni sawa na njia ya kwanza, kwa hiyo in absence of second option, uchaguzi uwepo usiwepo itatuchukua njia ya kwanza
Umeshapona dogo?...siku mbowe akikuchoma moto ndio utajuwa rangi zake!
Naona hali imeshakuwa mbaya, unataguta nabwa JF, kwa bahati mbaya wachangiaji wote hawahitaji kuchi
Kwa hiyo kama amechoka sisi tufanye nini sasa? Mwambie aende Dubai likizo kupumzika! Halafu pia mwambie awaache Askari wetu wafanye kazi yao, Askari wetu wana uwezo wa kuingia popote pale ndani ya ardhi ya TanZania hivyo hata yeye Mbowe pia ajitayarishe tu siku wakimpigia hodi atoe ushirikiano!
Unaweza ukadhani ni sifa lakini kinachojengwa ni kiovu kupitiliza.Hujui kesho yako.Siasa siyo mwisho wa kila kitu.Kuna maisha nje ya siasa.
Ndo maana mnafeli mitihani hata hamsomi vizuri. Mwandishi hajasema Mbowe ndo amechoka, bali wafuasi ndo wamechoka. Wanamsihi afanye maamuzi kwa maana nyingine. Read between lines before you comment.Kwa hiyo kama amechoka sisi tufanye nini sasa? Mwambie aende Dubai likizo kupumzika! Halafu pia mwambie awaache Askari wetu wafanye kazi yao, Askari wetu wana uwezo wa kuingia popote pale ndani ya ardhi ya TanZania hivyo hata yeye Mbowe pia ajitayarishe tu siku wakimpigia hodi atoe ushirikiano!
maneno ya mkosaji hayo
tuliwaeleza kumbeza magufuli kabla ya hizi chaguzi ilikuwa ni ujinga!! hamkutka kusikia
magufuli ni CDM kwa matendo; mmemlazimisha kuwa CCM
wapuuzi nyie
Msituni mtaingia wachaga na watu wa kaskazini tuu, watu wenye akili timamu hawawezi kuukubali huu ujinga wa CDM wa kutotumia demokrasia ndani ya chama na kuhubiri demokrasia nje, uzuri watanzania wameshafahamu kuwa Mbowe na CDM ni jipu sugu na mkilinzisha mtashughulikiwa kwa nguvu zote, na uache kusema watanzania ni wajinga sema wachaga na watu wa kaskazini ndio wajinga wanahubiri na kutaka usawa wakati wanapeana madaraka na vyeo na kugawana rukuzu wao kwa wao...watanzania ambao hawatoki kaskazini weshawashtukia labda akina Lissu et al ambao nao wako kwenye mfereji wa ruzuku ndio wanaowaunga mkono...mtaisoma namba awamu hii.Siku nyingi sana nilisema Tz hutuwezi kuikomboa kutoka ccm, sababu moja kubwa ni kuwa 87% ya watz bado tuko kwenye ujinga wa kiwango cha juu kabisa, mantiki yake tunaendelea na evolution kwenda kuwa binadamu wa karne ya 21 na hii itachukua siyo chini ya miaka 200. Sasa kwa kuwa ccm wanaelewa vizuri hali hii ya ujinga wa watz wengi wanaitumia vizuri kwenye kila sehemu inayohitajika na napenda kutoa ushauri wa bure: Acheni kulaumu na kulaani ccm maana they are just beneficiaries of majority of Tanzanians who are ignorants. Km tunahitaji kuondoa ccm ktk kipindi cha miaka 20 ijayo ni njia ya msituni tu maana kwa njia ya sanduku la kura, licha ya kuwa hata km utashinda hutapewa, refer (Zanzibar, Arusha, Tanga na sasa Kilombero) lakini bado kuna idadi kubwa ya watz ambao bado wanaipigia kura ccm refer (idadi ya madiwani wa ccm nchi nzima na zaidi serikali za mitaa, ccm inahodhi more than 80%). Bottomline, njia ya kufikia mabadiliko ya kweli ziko mbili: 1 let's wait for evolution for several generations to come (I estimate about 200 years) to change 87% of ignorants to smart people and 2 if we want to see change happen in our lifetime msituni is the only option, hii sanaa ya uchaguzi ni sawa na njia ya kwanza, kwa hiyo in absence of second option, uchaguzi uwepo usiwepo itatuchukua njia ya kwanza
Mpuuzi mwenyewe.Umeshawahi kuona namtukana mtu.??Ni jibu kwa hoja lakini usiniiye mpuuzi. Sasa mpuuzi ni wewe mwenyewemaneno ya mkosaji hayo
tuliwaeleza kumbeza magufuli kabla ya hizi chaguzi ilikuwa ni ujinga!! hamkutka kusikia
magufuli ni CDM kwa matendo; mmemlazimisha kuwa CCM
wapuuzi nyie