Gerald
JF-Expert Member
- Nov 14, 2007
- 290
- 46
Kwa siku kazaa kumetokea majibishano concern Arumeru je mmeshafanyia hizi tafiti na mkajua mtashinda?
1. Kuboresha Daftari la wapiga kura
Ikumbukwe hili ndilo jambo la msingi kabla ya kuingia kwenye chaguzi ndogo Arumeru kwa kusema hivi ni kwamba tulio wengi hapa kila kukicha topic ni Arumeru CDM itashinda so, kivipi? au ndio ushabiki pasipo kujua takwimu halisi za mtaji wa kura zitakazopigwa jimboni hapo na walioandikishwa kwenye daftari la wapiga kura?
2. Vijana, tukubali CDM ndio mtaji mkubwa kwenu sasa mnatakwimu zozote zinazowaonyesha kuwa ni idadi ya vijana wangapi wamejiandikisha kwenye daftari la NEC? mkumbuke CCM pale inayo takwimu ya wanachama wake na inaitaji wangapi zaidi ili ishinde chaguzi je nyie vipi? au ndio mnalewa na umati wao pasipo kujua takwimu zao?
3. Je kwa wazee/ kina mama wote wa Arumeru na hapa ndio hasa CCM inategemea je nyie mmejiimarisha vipi kupata kura zao?
4. Mgombea wenu anakubalika? na anahistoria nzuri hapo Arumeru? kafanya nini or elimu yake ipo vipi na muonekano wake kwa jamii ikoje?
5. Mmejipanga vipi na wizi wa kura hili swala tusingependa tena ikawa ni sababu yenu ya kushindwa uchaguzi, tena tumelisikia mda mrefu na tunategemea mmeshapata majibu yake yakiwamo na kununuliwa kwa vitambulisho vya kupigia kura, vituo hewa, watu kupewa mlungula na vitisho vya wapiga kura nk?
JF and GT plse toa mchango wako wenye kuisaidia CDM ili ifanikishe malengo yake pia kina Slaa, Zito na Myika wapo humu tunaomba michango yao kuhusu Arumeru na mategemeo ya CDM kwa ujumla.
1. Kuboresha Daftari la wapiga kura
Ikumbukwe hili ndilo jambo la msingi kabla ya kuingia kwenye chaguzi ndogo Arumeru kwa kusema hivi ni kwamba tulio wengi hapa kila kukicha topic ni Arumeru CDM itashinda so, kivipi? au ndio ushabiki pasipo kujua takwimu halisi za mtaji wa kura zitakazopigwa jimboni hapo na walioandikishwa kwenye daftari la wapiga kura?
2. Vijana, tukubali CDM ndio mtaji mkubwa kwenu sasa mnatakwimu zozote zinazowaonyesha kuwa ni idadi ya vijana wangapi wamejiandikisha kwenye daftari la NEC? mkumbuke CCM pale inayo takwimu ya wanachama wake na inaitaji wangapi zaidi ili ishinde chaguzi je nyie vipi? au ndio mnalewa na umati wao pasipo kujua takwimu zao?
3. Je kwa wazee/ kina mama wote wa Arumeru na hapa ndio hasa CCM inategemea je nyie mmejiimarisha vipi kupata kura zao?
4. Mgombea wenu anakubalika? na anahistoria nzuri hapo Arumeru? kafanya nini or elimu yake ipo vipi na muonekano wake kwa jamii ikoje?
5. Mmejipanga vipi na wizi wa kura hili swala tusingependa tena ikawa ni sababu yenu ya kushindwa uchaguzi, tena tumelisikia mda mrefu na tunategemea mmeshapata majibu yake yakiwamo na kununuliwa kwa vitambulisho vya kupigia kura, vituo hewa, watu kupewa mlungula na vitisho vya wapiga kura nk?
JF and GT plse toa mchango wako wenye kuisaidia CDM ili ifanikishe malengo yake pia kina Slaa, Zito na Myika wapo humu tunaomba michango yao kuhusu Arumeru na mategemeo ya CDM kwa ujumla.