USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 9,896
- 22,664
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo Freeman Mbowe ameshangaa na kusikitika kuwa baadhi ya viongozi ndani ya chama chake kutumia rushwa na kushinda nafasi mbalimbali.
Akiongea mbele ya Kamati Kuu ya Chadema amesema kuna ushahidi ulio wazi uchaguzi wao ulija arushwa na kuonya kuchukua hatua 'unatumia pesa zako ili uwe kiongozi chamani 'alisikika akikaripia Mwenyekiti Mbowe.
Chanzo: ITV
===
My take:
Ni wazi kuwa wengi walioshinda walitumia rushwa na wale walishindwa walishindwa kwa uadilifu wao ni vema sasa uchaguzi ufanyike upya ili kuiruhusu haki itendeke ndani ya chama.
Kuna ulazima viongozi wajiondoe kabla wanachama hawajachukua hatua kali dhidi ya wahusika.
Kuna ulazima wa mbowe kupeleka majina TAKUKURU ili jinai ichunguzwe na walihusika wapelekwe mahakamani.
Namuomba Msajili wa vyama kufuta uchaguzi unaoendelea wa chadema kwani hata mwenyekiti amekili ulijaarushwa na mzee sumaye kusema ulijaa figisu, hila, vitisho, upendeleo na rushwa.
Kuna haja wanachadema humu JamiiForums kujiunga nami kutaka rushwa kukomeshwa ndani ya Chadema.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app
Akiongea mbele ya Kamati Kuu ya Chadema amesema kuna ushahidi ulio wazi uchaguzi wao ulija arushwa na kuonya kuchukua hatua 'unatumia pesa zako ili uwe kiongozi chamani 'alisikika akikaripia Mwenyekiti Mbowe.
Chanzo: ITV
===
My take:
Ni wazi kuwa wengi walioshinda walitumia rushwa na wale walishindwa walishindwa kwa uadilifu wao ni vema sasa uchaguzi ufanyike upya ili kuiruhusu haki itendeke ndani ya chama.
Kuna ulazima viongozi wajiondoe kabla wanachama hawajachukua hatua kali dhidi ya wahusika.
Kuna ulazima wa mbowe kupeleka majina TAKUKURU ili jinai ichunguzwe na walihusika wapelekwe mahakamani.
Namuomba Msajili wa vyama kufuta uchaguzi unaoendelea wa chadema kwani hata mwenyekiti amekili ulijaarushwa na mzee sumaye kusema ulijaa figisu, hila, vitisho, upendeleo na rushwa.
Kuna haja wanachadema humu JamiiForums kujiunga nami kutaka rushwa kukomeshwa ndani ya Chadema.
USSR
Sent using Jamii Forums mobile app