CUF Ngangari
JF-Expert Member
- Aug 11, 2011
- 273
- 51
Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) amesema nipo tayari kuondoka CHADEMA ikiwa wanainchi hawatapata haki zao.
Source: Gazeti la Majira.
Source: Gazeti la Majira.
mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema amesema nipo tayari kuondoka CHADEMA ikiwa wanainchi hawatapata haki zao, source Gazeti la Majira.
Kauli tata
Kutoka source tata!
mwenyekiti wa chama cha Demokrasia na Maendeleo chadema amesema nipo tayari kuondoka CHADEMA ikiwa wanainchi hawatapata haki zao, source Gazeti la Majira.
Chezea ****** na Kamata!Cheza na Slaa na Josefina!
Ok msubirieni! Anakuja,kesheni mkiomba.JK kisha maliza kazi huyu anaelekea CCM Muda si mrefu, bora angesema kama wanainchi hawatapata haki zao kupitia chadema chini ya uongozi wangu nitaachia ngazi, hapo tungemuelewa lakini kwa kauli hiyo bila shaka anaelekea CCM.