Mh Mbowe amekuwa kiongozi wa Chadema kwa muda mrefu sasa. Amefanya juhudi zake katika mapinduzi ya kisiasa na kuufikisha upinzani hapa ulipo. Lakini lengo kuu hasa la upinzani ni kushika hatamu. Kwa bahati mbaya fursa ya mwaka huu baada ya skendo nyingi za rushwa na utendaji wa serikali, madhaifu hayo hayakusaidia chama kuongoza nchi. Ni wakati umefika sasa kukaa pembeni na kubaki kuwa mwanachama au hata mshauri ili;
1. Kuifanya Chadema iwe ya kidemokrasia zaidi na si ya watu wachache, walewale siku zote.
2. Kuruhusu mawazo mapya ya kutoka kwa watu wengine
3. Kukifanya chama kiwe na sura ya Kitaifa zaidi.
4. Kuchukua maamuzi sahihi kwamba uwezo wako wa kukiongoza chama umefikia hapo.
1. Kuifanya Chadema iwe ya kidemokrasia zaidi na si ya watu wachache, walewale siku zote.
2. Kuruhusu mawazo mapya ya kutoka kwa watu wengine
3. Kukifanya chama kiwe na sura ya Kitaifa zaidi.
4. Kuchukua maamuzi sahihi kwamba uwezo wako wa kukiongoza chama umefikia hapo.