Avriel
JF-Expert Member
- Jun 25, 2017
- 4,978
- 5,417
Unahoji elimu ya MTU tuliemshuhudia akipewa hiyo elimu na wakati huo huo katiba haina haja ya hiyo elimu ili MTU huyo awe mahali alipo, upuuzi tu badala ya kuhoji Sera na kuja na sera mbadala unahangaika na personality ya MTU ikusaidie nini ilhali deep inside unajua nobody is perfect lakini sheria na kanuni za ulimwengu ndio zinatuguide at least kuishi kwa kuheshimiana...
Halafu kifo au kupotea kwa watu wengine hakuna uhakika exactly nini hasa kimejiri bali hisia za kuungaunga ndizo zinatupeleka kunyoosheana vidole...
Otherwise hayupo anaestahili kifo au mateso kwa namna isiyo haki.
Halafu kifo au kupotea kwa watu wengine hakuna uhakika exactly nini hasa kimejiri bali hisia za kuungaunga ndizo zinatupeleka kunyoosheana vidole...
Otherwise hayupo anaestahili kifo au mateso kwa namna isiyo haki.
Kuna mtu mmetudanganya ni Dr akijitokeza wa kuhoji mnamuua.
