Watu wa chadema wanafiki sana! Eti wanalalamika viongozi wa ccm ni wafanyabiashara wanaochanganya na siasa! Mbona hawashangai mwenyekiti wao kufanya biashara? Slaa si amkemee basi kama yeye ni mzalendo,au anaogopa kufukuzwa atakosa mil7 kwa mwezi,duh bonge la dili! Mnapoinyoshea mkono ccm,jueni kwamba mnamtouch mwenyekiti wenu indirectly! Mvueni gambizo! Jamaa anamiliki danguro