Mbowe: Naomba makamanda wenzetu muelewe hiki sio kipindi cha kawaida (Awamu ya tano)

Sekeseke la kudai haki kwa nguvu tutaliunga mkono hadi tone la damu yetu, maana haki haiji kwenye sahani bali inapiganiwa
 
Mwenyekiti wa kambi rasmi ya upinzani bungeni na mwenyekiti wa CHADEMA Taifa Mh. Mbowe atatangaza operesheni UKUTA ndani ya mwezi kufatana na demokrasia inavyopokwa na Rais.

Amesema maamuzi hayo hayatarudi nyuma kufatana na kitendo cha jana CCM kutumia nguvu kupora haki za wananchi.

Amesema UKUTA ni kitu muhimu sana kuleta utawala wa kisheria.

UKUTA tena? Looh Mungu awasaidie
 
Chadema tafadhalini kuweni na mipango ya muda mfupi na ya muda mrefu .achaneni na kila kitu piganieni katiba mpya ya warioba kama moja ya mpango Wa muda mfupi na ataa kama ikibidi ilikuepuka kukosa katiba mpya piganieni hiyo hiyo ya ccm ipite ilimradi ina muondo Wa tume ya uchaguzi huru hii ikiwa ni katika mpango Wa muda mrefu kwamba mtakapo chukua madaraka mnafanya mchakato wakatiba mpya ya warioba au ataa bora zaidi.msiwe mlio filisika mawazo mnashindwa kutambua kama mtu anajua ameshinda kwa kuiba kura .atatawala kwa kumpendelea aliye mwibia .kama sio zaidi kumpiga vita kummaliza mpinzani wake kabla ya kukutana tena kwenye uchaguzi .ninawashangaa sana labda kama mlituambia uongo kuwa umeibiwa kura.toka lini dunia hii mwizi wako akawa rafiki au ataa kuwa karibu yako .kifupi piganieni katiba mpya na hikipidi hiyo hiyo ya ccm.vinginevyo watatumia upinzani wenu huu usio na plan A na B tukafika 2020 bila katiba na tukapigwa tena bao .
 
Hili nalo ni dua la kuku. Mmepotezana.
Wewe huwezi kuwa mwewe tukiamua wewe mpo wangapi? Juzi kati tulimuanzisha njagu mwenzio FFU katika bar moja hapa A town alikimbia kama kajibwa kalikoona chatu!
 
Back
Top Bottom