Mkwai
JF-Expert Member
- Feb 29, 2012
- 306
- 96
Labda onezea na hii alioipoint mdau huenda ikaleta maana. Mwalyego Society's Blog: MATUKIO KATIKA PICHA...SIASA SIYO UGOMVI NI KUZIDIANA KETE TU
Unadhani Mbowe ana shida kama kile kibabu kizinzi Slaa?
Wewe na ukoo wenu wote hakuna anayeweza kumnunua kamanda Mbowe.
Sio kila mtu ana bei,acha kuishi kimazoea.