Superbug
JF-Expert Member
- Jan 31, 2018
- 15,829
- 40,370
Mbowe na CHADEMA kwa ujumla pamoja na upinzani wote msife moyo jueni kwamba kinachotokea ni maigizo pia ni utumiaji wa rasilimali za taifa dhidi ya wenye taifa ambao ni wananchi acheni malaya waende kwao muda ni mwalimu mzuri watu wanaimani na nyie mnoooo huo ndio ukweli mnachokiona nu vitisho vya dola dhidi ya uhuru ni kama kuwekewa jambia shingoni na kuambiwa ubadili dini au ule kisu wachache watakubali kula kisu ila walio wengi watabadili kwahiyo msife moyo hata kidogo wema haujawahi kuanguka haki haijawahi kuuwawa ukweli utadumu kwamba watu wanalazimishwa kimabavu kuunga juhudi mawe ila ipi siku tutakuwa huru na haya yatabaki historia.