Ukitaka kujua hiyo akili inayotaaka kuia cdm haitofanikiwa zaidi ya kuihujumu cdm, kaulize faida na hasara inayopatikana kwa kununua ndege zilizopo. Kama uliambiwa tunawadai Barrick $190b na mpaka sasa hatujapewa hata senti, na kila siku unaambiwa mpaka sasa kuna viwanda 3,000+ toka awamu hii iingie madarakani na hivyo viwanda havijawahi kuonekana, basi subiri akili hiyo hiyo iiue cdm.
Na ukitaka kujua uwezo wa hiyo akili ya kuia cdm ilipofikia na uwezo wake kisiasa basi kasome magazeti ya Tanzanite, jamvi la habari nk. Hapo ndio utajua hiyo akili kama ina uwezo wa kuia cdm au la. Kikubwa akili hiyo inachoweza na ilichofanikiwa mpaka sasa ni sehemu zote zinazohitaji matumizi nguvu na sio ya akili.