Wewe Sasa ndiyo umesema ukweli wazalendo watampiga risasi tena. Wale waliotaka KUMUONGEZEA muda Magufuri BAADA ya kumaliza MIAKA kumi. Vipi hamkuweza KUMUONGEZEA uhai kwanza? Sasa tunataka tumuongezee mama Samia aongoze MIAKA 20 au ile ilikuwa kwa ajili ya marehemu Magufuri tu?