Bengal
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 25,820
- 28,099
Acheni kuhamasisha chiki na migawanyiko kwa taifa.Wanaccm, Salaam!
Nimepitia maandishi kadhaa ya Tundu Lissu kuhusu anavyochukulia kifo cha Rais John Pombe Magufuli - haya ni baadhi tu ya maneno yake.....