sikajiji
JF-Expert Member
- Jan 23, 2012
- 588
- 113
Kauli tu kuwa yeye ni KISIKI inatosha, wasubutu waone
Kauli tu kuwa yeye ni KISIKI inatosha, wasubutu waone
ukiona kocha wa yanga anaomba eti simba wasimcheze mchezaji flani, hapo ujue kocha ameshapanic ameshaona kushindwa kwake kabla hata mechi haijaanza.
Ni kwanini kocha wa CCM anataka kutupangia safu ya wachezaji wetu wa CDM??
wewe ni mchezaji wa team ya simba, team ya yanga ikipanga safu mbovu ndo usindi wa simba.
ni kweli unataka kuimarisha team ya mshindani wako ili akushinde??
usijitoe ufahamu, Huu sio upinzani wa CCM na CDM Huu ni mgongano wa mawazo baina ya Wandemokrasia dhidi ya Wahafidhina
hata malaika hawezi kumuombea uimara mshindani wake.ni mfirisikaji wa mawazo tu ndio anaweza kuthubutu kuwaza kama unavyowaza! sikia ili pawepo na simba bora inahitajika pawepo na yanga makini kinyume chake timu zote zitakua mbovu na sie mashabiki kukosa kabisa radha ya mpira
Ahaaa wapi. Kisiki baada ya kumfukuza mwanamume mwenzako Zitto Zuberi Kabwe? Unafanya mazingaombwe? Tangu uwe Mwenyekiti hujawahi kushindana, unapewa ushindi wa mezani. Wewe ni mwoga, huna chochote! Ungemuacha Zitto aingie kwenye uchaguzi angekuliza saa nne na nusu asubuhi. Wadanganye wajinga wenzako!
wewe kweli kichwa maji akili yako aina. Waledi kazi kuropoka usicho kijuwa ya cdm tuwachie cdm kenge wa ACT we.Baada ya ile kauli tata kabisa kutoka kwa Mwenyekiti wa taifa wa CHADEMA kuwa tatizo siyo kuchukua pesa kwa Nimroad MKONO bali tatizo ni unatumiaje pesa hizo, hii ni kauli nyingine tata kutolewa na kiongozi huyo kutoka makao makuu ya chama hizo mtaa wa Ufipa KINONDONI. Akikabidhiwa fomu ya kugombea nafasi ya Mwenyekiti wa Chama hicho kwa mara nyingine , MBOWE bila kumumunya maneno akasema yeye ni KISIKI ndani ya Chadema na kuwataka wote wanaodhani wanaweza kujipima ubavu naye katika kuwania nafasi hiyo wajitokeze
Hakika mungu ni wajabu sana, ameamua kuuweka udikteta wa Mbowe hadharani na hii ni aibu kwa wale wote waliokuwa wakimkingia kifua kiongozi huyu kuwa siyo Dikteta. KAULI hii imekidhalilisha Chama na wanachama wake kwa ujumla kwa vile ni wazi kabisa ndani ya CHADEMA hakuna mtu mwingine mwenye uwezo wa kukiongoza chama na pengine sasa, watanzania tunaweza kujiaminisha kuwa hata migogoro inayokikumba chama hicho na kupelekea baadhi ya makada wa chama hicho kufukuzwa na wengine kujiengua wenyewe ni kutokana na ukweli kwamba makundi hayo yalionesha nia ya kuwa na kiongozi mbada wa chama hicho.
kwa habari zaidi juu ya ubabe wa Mbowe, soma magazeti ya Tanzania na Mwananchi
Wote si akili zenu sawa, wajanja watajiondokea mbaki mazuzu
Mwenyekiti wa wazee feki kutoka kigoma
Kama unampenda sana zito mwambie agombee ACT na urais urais aone balaa lakeAhaaa wapi. Kisiki baada ya kumfukuza mwanamume mwenzako Zitto Zuberi Kabwe? Unafanya mazingaombwe? Tangu uwe Mwenyekiti hujawahi kushindana, unapewa ushindi wa mezani. Wewe ni mwoga, huna chochote! Ungemuacha Zitto aingie kwenye uchaguzi angekuliza saa nne na nusu asubuhi. Wadanganye wajinga wenzako!