technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,563
- 57,888
- Thread starter
- #61
ExactlyNiandamane kwasababu ipi hasa katika uongozi huu wa awamu Bora zaidi....Labda kama kuna maandamano ya kumuunga mkono Rais katika katika jitihada zake za dhati kabisa za kurudisha nidhamu ya nchi kwenye mstari.......Nitakuwa mstari wa mbele kabsaaaaaaaaaaaa..... Ila kwa haya mengine hakuna maslahi yoyote ya Taifa...... Kuna nchi zinatamani kupata kiongozi kama huyu makini......