technically
JF-Expert Member
- Jul 3, 2016
- 13,562
- 57,887
- Thread starter
- #21
Mkuu upo sahihiSiku hao wake wa mboe na Lowassa ukiwaona kwenye maandamano ujue mwisho wa dunia umefika
Mkuu upo sahihiSiku hao wake wa mboe na Lowassa ukiwaona kwenye maandamano ujue mwisho wa dunia umefika
ExactlyThis time waspojitokeza mbele ya maandamano, wajue imekula kwao.
Vijana wamechoka Kua ngao Yao
Mkuu asanteedr slaa alikuwa chater nyingine
Sawa mkuuTarehe 1
We kweli mtetezitutakwenda wenyewe mbele wewe kama hutaki hakuna atakaekulazimisha, chadema hatulazimishani hukiona watu wanaandama wamejitokeza kwa hiyari yao. mambo ya kulazimishana ni ccm.
Maandamano ambayo yanaruhusiwa kisheria unaona fahari kujisifia kumvunja mkono kiongozi? Ni upu.mbavu wa kiwango cha juuKwani slaa alivyovunjwa mkono alikuwa amelala kwake??
Uchochezi gani??Acha uchochezi hats muamar hakuwa Na kosa
Maandamano ni kutembea tu hakuna kubeba bunduki lazima washiriki. Wanaogopa nini?Hata wakati tunakwenda kupigana vitani Kagera 1979 sikupata kumuona Mwl Nyerere akija kushika bunduki hata siku moja. Hivyo hoja yenu ni ya kipuuzi, mnataka kamanda mkuu awe pale mbele ili mumuuwe?
Katika Raia ambao hatajitokeza wewe ni mmoja wapo.Siku zote sisi maskini ndio wakombozi wa taifa sababu hatumwogopi mtu nasema tena 1mwezi wa 9 police wajiandae na mizinga kabisa maana mabomu ya machozi risasi za moto hazitasaidia kitu
Huyu anaesema tunataka kumuua kamanda mkuu atakua ni Lowassa. Anajitetea kijanja.Kwani slaa alivyovunjwa mkono alikuwa amelala kwake??
Na tangu ameondoka sioni la maana wanachofanya. Hivi Yule mwenyekiti mpya yuko wapi ?CDM ni Dk Slaa wengine wazushi
Dr Slaa na Mke wake walikuwa wanaongoza maandamano ya Chadema kule ArushaWe unaishi dunia gani, ushawahi ona kamanda anatangulia mbele vitani yeye yuko nyuma kupanga strategy. Hata ktk kundi la nyuki wa mwisho kufa ni malkia baada ya wapiganaji wote kuangamia. Mbowe atakuwa anafanya makosa ya kimkakati kuongoza maandamano yayosubiriwa na askari wenye hasira na virungu mikononi.
Kwahiyo asila ziishie kwa watoto wa maskini sio?We unaishi dunia gani, ushawahi ona kamanda anatangulia mbele vitani yeye yuko nyuma kupanga strategy. Hata ktk kundi la nyuki wa mwisho kufa ni malkia baada ya wapiganaji wote kuangamia. Mbowe atakuwa anafanya makosa ya kimkakati kuongoza maandamano yayosubiriwa na askari wenye hasira na virungu mikononi.
CCM alikuwa nyerere hawa wengine Hamna kituCDM ni Dk Slaa wengine wazushi
Sasa wewe umeambiwa maandamano nchi nzima, Hugo Mbowe atakuwepo kila mahali?Acha ufala. Maandamano ni kutembea tu hakuna kubeba bunduki lazima washiriki. Wanaogopa nini?