Mbowe kwa unyenyekevu mkubwa naomba lipokee na ulifanyie kazi jambo hilo...

Cyangungu

Member
Nov 7, 2019
45
54
Tumeshuhudia chaguzi za kuwapata Viongozi wa Chama unachokiongoza Chadema katika ngazi mbalimbali kote Nchini zoezi ambalo limeendelea vyema;hongera!

Lakini hili jambo la shutuma za eti Viongozi wengi waliochaguliwa hasa nafasi za Wilaya na Mkoa ni wa Kabila la kutoka kaskazini ni habari zinazoogofya sana!

Kwa unyenyekevu mkubwa kama jambo hilo ni la kweli basi nakuomba ndugu M/kiti wakati mwingine kwa ushawishi wako pendekeza uwapo mseto wa Uongozi na si iwe ni wakutoka eneo moja pekee na ikiwezekana ingekuwa vyema wazawa wa eneo husika kupewa kipaumbele.

Mfano pale Morogoro INGEPENDEZA MKUDE NA MALISA wakawa VIongozi mseto nasi MALISA na MINJA pekee!Hakika wakosoaji wa kikabila mnawapa nafasi ya kupata hoja ya kukisema vibaya Chama kwamba ni cha kikanda.

Kwa mantiki hiyo naamini nimeeleweka.
 
Unaonaje Zanzibar nao wakalalamika kuwa Maraisi wengi wametoka Bara, kwa hiyo hii nchi ni upande mmoja?

Kama waliojitokeza kugombea na wakawa na sifa za kukubalika ndio hao na watu wakawachagua kwa haki na hiari yao, unataka Mwenyikiti afanyeje?
 
Unaweza kuwa na hoja, je hao wa kabila lako wamejitokeza kugombea? Wana sifa zinazokidhi? Maana huwa hamjitokezi wanajitokeza wa hilo kabila usilolitaka tena wakiwa na sifa na moyo wa kukitumikia hicho chama. Cha muhimu ni wakati wa uchaguzi kusifanyike hila, ili mtu apite kwa haki.
 
Una hoja ya msingi sana isipokuwa hapa ni kama umemgusa punda henyani shuhudia mateke!
 
Utetezi dhaifu!
Unaweza kuwa na hoja, je hao wa kabila lako wamejitokeza kugombea? Wana sifa zinazokidhi? Maana huwa hamjitokezi wanajitokeza wa hilo kabila usilolitaka tena wakiwa na sifa na moyo wa kukitumikia hicho chama. Cha muhimu ni wakati wa uchaguzi kusifanyike hila, ili mtu apite kwa haki.
 
Hongeeshesha zumbe mtana
Wazingatie Kabila kwani wanatafuta kiongozi wa Kimila au wanataka kufanya Tambiko?

Wanachama kwa hiyari yao wamepiga kura, wamewachagua viongozi wawatakao alafu wewe unatoa ushauri kwa Mbowe kwani yeye ndiye alikua Mpiga Kura?
 
Utetezi dhaifu!

Ni sawa na kulalamika kwanini Wamasai ndio wengi wanafuga wakati makabila mengine hawafugi? Huyo aliyetoa uzi nimemuuliza nadhani angekuwa na nafasi nzuri ya kuweka mazingira ya uchaguzi. Cha muhimu ni uchaguzi wa haki na vigezo kuzingatiwa. Ninajua ninachozungumza, watu huwa hawajitokezi, na wakati mwingine wakijitokeza hawakidhi vigezo na wala hawana ushawishi. Wakishindwa wanaishia kulialia. Hata hapo Morogoro alipo jaribu kufuatilia utakuta wafanyabishara wengi ni hao hao wachaga na sio wa kabila lake, sasa kukifanyika uchaguzi wa wafanyabishara kupata kiongozi mazingira ya mchaga kuwa kiongozi ni makubwa. Nasisitiza uchaguzi uwe ni wa haki basi.
 
Tumeshuhudia chaguzi za kuwapata Viongozi wa Chama unachokiongoza Chadema katika ngazi mbalimbali kote Nchini zoezi ambalo limeendelea vyema;hongera!



Lakini hili jambo la shutuma za eti Viongozi wengi waliochaguliwa hasa nafasi za Wilaya na Mkoa ni wa Kabila la kutoka kaskazini ni habari zinazoogofya sana!



Kwa unyenyekevu mkubwa kama jambo hilo ni la kweli basi nakuomba ndugu M/kiti wakati mwingine kwa ushawishi wako pendekeza uwapo mseto wa Uongozi na si iwe ni wakutoka eneo moja pekee na ikiwezekana ingekuwa vyema wazawa wa eneo husika kupewa kipaumbele.



Mfano pale Morogoro INGEPENDEZA MKUDE NA MALISA wakawa VIongozi mseto nasi MALISA na MINJA pekee!Hakika wakosoaji wa kikabila mnawapa nafasi ya kupata hoja ya kukisema vibaya Chama kwamba ni cha kikanda.



Kwa mantiki hiyo naamini nimeeleweka.
Mimi mkuu naona hoja yako ni kuwa unachuki na hilo kabisa na pili hujui vionvozi wachama hicho vizuri tatu kama hapo morogoro kama hakuna Mwenye Sifa za kutosha na Mwenye hari na chama unataka wapiga kura uwachaguliye kiuongozi?nne naona shida yako ni mbowe tano naona wewe sii mfuasi Wa hicho chama kwa maana ungekuwa mfuasi Wa hicho chama ungemwambia Mwenyekiti bila kuja huku kwenye jukwaa hili mwisho achana na mawazo ya kikabila kwa Tanzania hii
 
H
Hakika wakosoaji wa kikabila mnawapa nafasi ya kupata hoja ya kukisema vibaya Chama kwamba ni cha kikanda.
Usifanye mambo kwa kuogopa macho ya wabaya wako (wakosoaji). Ukiliepuka hili kesho watakuja na lile
 
Tumeshuhudia chaguzi za kuwapata Viongozi wa Chama unachokiongoza Chadema katika ngazi mbalimbali kote Nchini zoezi ambalo limeendelea vyema;hongera!



Lakini hili jambo la shutuma za eti Viongozi wengi waliochaguliwa hasa nafasi za Wilaya na Mkoa ni wa Kabila la kutoka kaskazini ni habari zinazoogofya sana!



Kwa unyenyekevu mkubwa kama jambo hilo ni la kweli basi nakuomba ndugu M/kiti wakati mwingine kwa ushawishi wako pendekeza uwapo mseto wa Uongozi na si iwe ni wakutoka eneo moja pekee na ikiwezekana ingekuwa vyema wazawa wa eneo husika kupewa kipaumbele.



Mfano pale Morogoro INGEPENDEZA MKUDE NA MALISA wakawa VIongozi mseto nasi MALISA na MINJA pekee!Hakika wakosoaji wa kikabila mnawapa nafasi ya kupata hoja ya kukisema vibaya Chama kwamba ni cha kikanda.



Kwa mantiki hiyo naamini nimeeleweka.

Unaongea as if Mbowe ndio anakuja kupiga kura yeye binafsi katika kila wilaya!
 
Hoja hii ni muhimu ila kwakua ni Chadema basi haitazungumzwa hapa JF, Lakini wakae wakifahamu kuwa wanachokifanya sasa kitaonekana huko mbeleni. Ipo siku jambo hili litarejea na kuwatafuna. Acha ajifanye kuahirisha kwa muda.
 
....kwamba hata JPM asijali maneno matupu ya wakosoaji wake....!?
Yes. Akomae tu na anachokiamini, ili mradi kiwe ndani ya wigo wa katiba.

Sasa kwa uchaguzi wa Chadema Morogoro hakuna kanuni, sheria ama katiba ya chama wala nchi iliyokiukwa. Bali tu eti kuna vijimaneno uchwara huwa vibasemwa ndiyo vilipswa kuepukwa.
 
Hoja yako ingekuwa na mashiko sana endapo ungetueleza kuwa wapiga kura wengi wa hapo morogoro ni kabila gani hata wakachaguliwa tu hawa watu wa kaskazini.
 
Bro mi nimekulewa sana unataka CHADEMA ijengwe iwe na sura ya kitaifa na si ya upande fulani
Wamesahau kama CUF kilikuwa kinaitwa chama cha wapemba
Sasa itakuwa zamu yao kuitwa chama cha kaskazini wakati walikuwa na uwezo wa kuliepuka hilo

Sisi wapigakula asilimia 90 hatunaga vyama mi nasikiliza Sera tu sasa nikiambiwa kile ni chama cha kabila Fulani na nikichungulia kwa ndani nakuta ni kweli limejaa kabila Fulani mimi km mpiga kura nitakuwa na mashaka
 
Back
Top Bottom