Mtoka Mbali
JF-Expert Member
- Aug 11, 2010
- 237
- 25
Nimepata taharifa kuwa Mh Mbowe atazungumza na waandishi wa habari kuanzia mida ya saa tano, vipi mbona kimya? Kama kuna mwenye kujua kinachoendelea atupatie updates please.
Hivi laptop kwa kila mwanafunzi wa secondary zimeshaagizwa?Huyu Mwenyekiti wa Chadema mbona anakuwa muhuni hivi jamani, kila siku kwenye maandamano yenu unasema Mafisadi wote wapelekwe mahakamani, leo wewe una kesi mahakamani utaki kwenda mahakamani tena cha ajabu kesi ipo mahakamani wewe unaenda kuliongelea na waandishi wa habari huu ni upuuzi kwa kweli, nchi hii inaongozwa utawala wa sheria sio Rigmarole Mbowe, unatafuta Sympathizer kutoka kwa waandishi wa habari, utapata kutoka Tanzania Daima
Nani atakuwa tayari kumshabikia mtu anayevunja sheria na kumbe yeye mwenyewe ni mpiga vuvuzela nje kuwa utawala wa sheria ufuatwe...kumbe hamna kitu kabisa.............yani wajinga wachache wataharibu unyoofu wa wengi.
Mbona yupo lissu na marando kwa nn wasimsaidie hata kuhusu sheria
Serikali ya kizembe sana mtu anadharau mahakama waziwazi mnaremba.UKICHEKA NA NYANI UTAVUNA MABUA subirini mtaona
Another Mandela has come, freedom is comming tomorrow:dance: From the court to prison to statehouse. Amantdlah
Napenda wana jf tuzungumzie maendeleo mya mbowe katika jimbo lake. na utekelezaji wa ahadi zake.
Kama shele aliahidi kule RUNDUGAi kuwa atajenga fom 5 na 6 je, atatekeleza?