Mbowe kufungwa ni sahihi

Mbowe kufungwa ni sahihi

kiroka

JF-Expert Member
Joined
Feb 28, 2018
Posts
371
Reaction score
1,900
Yes I declare interest Mimi nilikua chadema, uchaguzi wa 2015 niligombana na watu wangu wa karibu because nilikua naipenda chadema na nilitaka ishinde, 2020 niligombana na mke wangu because of chadema, tuliongozana wote kwenda kupiga kura tukakubaliana tuichague chadema lkn alivoingia kupiga kura akawapa ccm ikiwa vita ndani although alitumia haki yake ya kikatiba

Tukirudi kwenye kesi ya Mbowe naunga mkono Mbowe kupewa kesi hata kama ni ya kutengeneza kwa sababu kuu moja

Baada ya kifo cha JPM mama alishika hatamu hapo ndo chadema wakaibuka na hoja ya katiba mpya wakaanza kuhamasisha watu waandamane wadai katiba mpya. Wakati huo mama ni mgeni kwenye majukumu yake anatakiwa aseti mipango kuongoza nchi mbowe yupo Mbeya na kina Mdude nyangali ambae akitoka gerezani kwa mkono wa mama wakaanza kumkejeli mama Eti kiwembe kilichomnyolea mtangulizi wake kitamnyoa mama hivi kweli jamani

Ilikua ni lazima Mbowe akae ndani kuhamisha akili za chadema kutoka katiba mpya mpaka kuhangaikia kumtoa mwenyekiti na kwa hili washauri wa mama wamefanikiwa kama ni suala la katiba mpya litakuja kufanyika lakini ni hapo baadae baada ya mama kufanikiwa kutengeneza anayotaka kuyaacha kama legacy yake kwenye nchi hii

Najua chadema watanitukana saana maana ndo kawaida yao karibuni
 
1. Ulijuaje mkeo alimpigia nani kura!??? (Au ulikuwa sehemu ya wavuruga-uchaguzi!???)
2. Ugeni wa Bi Mkubwa na madai ya Katiba Mpya vinahusianaje!???
3. Imagine wewe ndiye ungekuwa Mr Hai, ungependekeza hivi kama usemavyo sasa!???
Mimi ningekua Mr hai ningewaambia wanangu wanyamaze kwa kipindi Cha mwaka ivi tuanze na njia ya amani then ikishindkana tunakuja kwa kasi ya 5g
 
Mimi ningekua Mr hai ningewaambia wanangu wanyamaze kwa kipindi Cha mwaka ivi tuanze na njia ya amani then ikishindkana tunakuja kwa kasi ya 5g
Political science yako wala hata ^high-hole-d^ wota. Did you know that mtaji wa siasa ni pamoja na kustrategize kuwa kwenye habari 24/7!??? Ndiyo maana huoni kwamba Chama cha Demoghasia & Maombolezo kimejitahidi kuendelea kuwa chama cha matukio, hata kama yawe ya kutengeneza!???
 
Hoja yako haieleweki imeegemea wapi, unamaanisha kifungo ama kubambikiwa kesi. Ndiyo! Kuna kesi ya Mh. Mbowe na wenzake inayoendelea kusikilizwa mbele ya mahakama na wala hata hajafikia hatua ya kutolewa hukumu.

Suala la mtu kufungwa hutokea pale tu mahakama itakapomkuta ana hatia. Sasa hilo la Mbowe kufungwa umelitoa wapi we mbwiga?
 
Huna akili.Kama ni kufungwa aliepaswa kufungwa alikuwa ni Magufuli ambae ni fisadi Papa wa muda wote kwani haijawahi kutokea tokea uhuru Rais akapiga ufisadi wa TZS 1.5 trilioni ndani ya awamu moja ya uongozi.

Ufisadi aliopiga Magufuli ni mkubwa kuliko ufisadi wote wa awamu zote nne za nyuma yake ukijumlisha kwa pamoja.Uliwahi kuja na uzi unaohusu fisadi nguli kama huyu kufungwa?

Sifa na utukufu zimwendee CAG Profesa Musa Assad ambae alifanya kazi nzuri sana ya kuibua ufisadi ule.

20211206.jpg
1638703545.jpg
 
1.Inavyoonyesha hujawahi kuwapo chama digitali
2.Utakuwa mwana sgang, muunga juhudi mkono, au miongoni mwa wasaliti wa chama pendwa Cha watanzania.
 
Nahisi Mbowe alijua ninikitamkuta akaamua kutengeneza mazingira ionekane nikudai katiba mpya ndo kumesababishwa akamatwe. Kwahaya tulio yaona kwasabaya niwazi Mambo yamebadilika sana,

ule wembe uliomnyoa sabaya utamnyoa Mbowe
 
Yes I declare interest Mimi nilikua chadema, uchaguzi wa 2015 niligombana na watu wangu wa karibu because nilikua naipenda chadema na nilitaka ishinde, 2020 niligombana na mke wangu because of chadema, tuliongozana wote kwenda kupiga kura tukakubaliana tuichague chadema lkn alivoingia kupiga kura akawapa ccm ikiwa vita ndani although alitumia haki yake ya kikatiba

Tukirudi kwenye kesi ya mbowe naunga mkono mbowe kupewa kesi hata kama ni ya kutengeneza kwa sababu kuu moja

Baada ya kifo cha JPM mama alishika hatamu hapo ndo chadema wakaibuka na hoja ya katiba mpya wakaanza kuhamasisha watu waandamane wadai katiba mpya. Wakati huo mama ni mgeni kwenye majukumu yake anatakiwa aseti mipango kuongoza nchi mbowe yupo mbea na kina Mdude nyangali ambae akitoka gerezani kwa mkono wa mama wakaanza kumkejeli mama Eti kiwembe kilichomnyolea mtangulizi wake kitamnyoa mama hivi kweli jamani

Ilikua ni lazima mbowe akae ndani kuhamisha akili za chadema kutoka katiba mpya mpka kuhangaikia kumtoa mwenyekiti na kwa hili washauri wa mama wamefanikiwa kama ni suala la katiba mpya litakuja kufanyika lakini ni hapo baadae baada ya mama kufanikiwa kutengeneza anayotaka kuyaacha kama legacy yake kwenye nchi hii

Najua chadema watanitukana saana maana ndo kawaida yao karibuni
Nahis mbowe alijua ninikitamkuta akaamua kutengeneza mazingira ionekane nikudai katiba mpya ndo kumesababishwa akamatwe. Kwahaya tulio yaona kwasabaya niwazi Mambo yamebadilika sana,

ule wembe uliomnyoa sabaya utamnyoa mbowe

1.Inavyoonyesha hukawahi kuwapo chama digitali
2.Utakuwa mwana sgang, muunga juhudi mkono, au miongoni mwa wasaliti wa chama pendwa Cha watanzania.
 
Mimi ningekua Mr hai ningewaambia wanangu wanyamaze kwa kipindi Cha mwaka ivi tuanze na njia ya amani then ikishindkana tunakuja kwa kasi ya 5g
Yaani Babu/wazee wetu wangekua na akili kama zako Africa ingekua koloni mpaka Leo.Serikali ya maana usikiliza wananchi wanataka nn?kama inshu sensitive kura za maoni huamua.Chifela wewe
 
Unaweza kuwa na Hoja lakini ukaiharibu kwa baadhi ya kauli zako, Unawezaje kukiri kuwa unaunga Mkono Mbowe kupewa kesi hata kama ni ya kutengeneza!? Bro unaweza kufurahi leo kwakua huna uhusiano na Mbowe lakini vipi Kama angekuwa Kaka, Mjomba, Baba au Babu yako anayapitia haya unayoyafurahia!? Kuna kitu Karma yale unayoyatenda au kuyafurahia kwa wengine before hujaingia kaburini ni lazima uyapitie pia.

Bro ungejenga hoja na kuweka ushahidi wa tuhuma alizonazo, kwakua ulikuwa Chadema means unamfahamu vyema.
 
Wewe na mke wako wote ni wajinga.... Na mlivyo wajinga mkasahau kuwa kura ni siri ya mtu..

Sasa ulijuaje kama alichagua CCM.. Kama alikudanganya..

Na ulivyokuwa tena mjinga hujaleta sabbu za msingi kwann mbowe afungwe...kudai katiba sio sabbu ya mtu kufungwa..

Na ulivyokuwa mjinga pro max.. Kunauwezekano hujui hata kesi ya mbowe ipoje..
Yes I declare interest Mimi nilikua chadema, uchaguzi wa 2015 niligombana na watu wangu wa karibu because nilikua naipenda chadema na nilitaka ishinde, 2020 niligombana na mke wangu because of chadema, tuliongozana wote kwenda kupiga kura tukakubaliana tuichague chadema lkn alivoingia kupiga kura akawapa ccm ikiwa vita ndani although alitumia haki yake ya kikatiba

Tukirudi kwenye kesi ya mbowe naunga mkono mbowe kupewa kesi hata kama ni ya kutengeneza kwa sababu kuu moja

Baada ya kifo cha JPM mama alishika hatamu hapo ndo chadema wakaibuka na hoja ya katiba mpya wakaanza kuhamasisha watu waandamane wadai katiba mpya. Wakati huo mama ni mgeni kwenye majukumu yake anatakiwa aseti mipango kuongoza nchi mbowe yupo mbea na kina Mdude nyangali ambae akitoka gerezani kwa mkono wa mama wakaanza kumkejeli mama Eti kiwembe kilichomnyolea mtangulizi wake kitamnyoa mama hivi kweli jamani

Ilikua ni lazima mbowe akae ndani kuhamisha akili za chadema kutoka katiba mpya mpka kuhangaikia kumtoa mwenyekiti na kwa hili washauri wa mama wamefanikiwa kama ni suala la katiba mpya litakuja kufanyika lakini ni hapo baadae baada ya mama kufanikiwa kutengeneza anayotaka kuyaacha kama legacy yake kwenye nchi hii

Najua chadema watanitukana saana maana ndo kawaida yao karibuni
 
Mleta mada ni bora ungekaa kimya kuficha upumbavu wako, sidhani kama ulikuwa CDM kwani sikuwahi kumuona mtu wa CDM mwenye akili za kipuuzi kama zako. wachumia tumbo mnatakiwa kuwa ccm tu kule CDM ni watoto wa kiumeni tu.
 
Back
Top Bottom