SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,760
Wewe ni mccm na hujawahi kuwa Chadema, achana na Chadema jadili ya chama chenu cha kishetani,koma kabisa.Chadema hakuna nidhamu ndo maana chama kinagawanyika ndo maana kila anaetoka chadema bila kuangalia tatizo nini mnaimba usaliti tu hebu angalia mwenyekit miaka na miaka hatoki kwani chadema haina watu wengine watakaokuja na new ideas
Sent from my TECNO RA7 using JamiiForums mobile app
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app