Mbowe kijana wa CCM kwa kivuli cha upinzani

Anzisha chama cha kwako
 
Kwa miaka mingi kumekuwa na tuhuma nyingi za kubumba zikimlenga mh Mbowe zikilenga kuuaminisha umma kwamba eti mamluki .Ajabu tuhuma hizo mara nyingi hutolewa na vijana wa fisiemu.Kama ndio hivyo kwa nini wasifurahie hiyo hali ili chama chao kiendelee kutawala kelele za nini?
 
Kwa ufinyu wa fikra zako kila anayemkataa Mamluki Mbowe ni Ccm. Fahamu tuu mimi ni Chadema niliyefahamu michèzo ya Mbowe. Hatukubali mtu mmoja kutuharibia harakati za ukombozi hata kama chama ni Mali ya familia yake. Kwanza tunaikomboa Chadema then tunaikomboa Tanzania toka mikononi mwa Ccm na vibaraka wao kina Always Chairman
 
Unaongea utoto nilijua uko timamu. Tafuta jukwaa la watoto wenzako. Unataka kujadili mambo yaliyokuzidi kimo.
Wewe endelea kutawaza watoto wa Mbowe, Achana na mambo anayotakiwa kujadili baba yako
 
Hicho chama kimejengwa na watu wote kupitia Kodi zao, hiyo taasisi ya umma Ila yeye Mbowe ndo anaitumia kama Mali yake binafsi ambapo ni makosa

Sent from my Nokia C10 using JamiiForums mobile app
 
Zito huyu huyu malaya wa kisiasa? Kafulila huyu huyu malaya wa chawa?
 
Wewe endelea kutawaza watoto wa Mbowe, Achana na mambo anayotakiwa kujadili baba yako
Umeshindwa ku defend andiko lako la kuunga unga unaleta mada nyingine ambazo zinazidi kukuvua nguo kuwa wewe ni zero brain.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…