na mwaka lwakatare akihama chadema .......vijiwe vitabadilishwa kuelekea chama atakacho kwenda.
lwakatare hakupigia debe chama, hujipigia mwenyewe tu.........bora kuruhusiwe mgombea binafsi tujue moja
vyama vya siasa tanzania bado vina safari ndefu.
Wakuu,
Leo na sasa hivi mzee wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yupo Mjini Bukoba akiendesha operation ya kufungua matawi na kufunga bendera katika maeneo ambayo awali wenye kumiliki maeneo hayo walikuwa wana CUF.
Hadi sasa hivi nipo hapa kwenye cafe na nje pamefurika watu wakishuhudia Mbowe akivunja vijiwe vyote vya CUF na kusimika CHADEMA.
Anaongozana na mwanachma wake mpya Lwakatare.
Lakini kikubwa ninachokina hapa ni kuwa kuna maandamano pia ya wana CCM eti wanapokea Beno Malisa, yani hapa ni SIASA kwa mtindo mmoja jamani waombee wana Bukoba
Chao
Mbowe endelea kufungua matawi Mzee kuandaa viwanja vya 2010.Pia fuatilia kichwa kingine Hamad Rashid kutoka CUF(CCMb) ili kuimarisha timu yetu ya kuinyoa CCM 2010.
Duh! haya ndo yale niliyoyanena.. Kuwa chadema ipo kwenye operation maalum ya kuimaliza Cuf sio ccm.. hapo ndipo nakubali ile dhanna kuwa Chadema ni CCM-B..
Wakuu,
Leo na sasa hivi mzee wa anga na mwenyekiti wa CHADEMA Freeman Mbowe yupo Mjini Bukoba akiendesha operation ya kufungua matawi na kufunga bendera katika maeneo ambayo awali wenye kumiliki maeneo hayo walikuwa wana CUF.
Hadi sasa hivi nipo hapa kwenye cafe na nje pamefurika watu wakishuhudia Mbowe akivunja vijiwe vyote vya CUF na kusimika CHADEMA.
Anaongozana na mwanachma wake mpya Lwakatare.
Lakini kikubwa ninachokina hapa ni kuwa kuna maandamano pia ya wana CCM eti wanapokea Beno Malisa, yani hapa ni SIASA kwa mtindo mmoja jamani waombee wana Bukoba
Chao
Hata kama akishinda uchaguzi mwakani Jk awezi kushinda kama vile mwaka 2005, Lakini kuna umuhimu sana kwa kujua CHADEMA wanaendesha siasa zao vizuri na pia kama wako bukoba ni kwa ajili yao na ni haki yao kufungua matawi yaoHii haijatulia imekaa kiushabiki mno .Hapa kuna tukio la Mbowe kufungua matawi baada ya wana CUF kuamua kufunga CUF yao na si Mbowe kusambaratisha CUF .Baada ya hapo naamini Mbowe hakufika Bukoba kwa ajili ya matawi ya Lwakatare bali kampeni za Bilaramulo .Ugumu wa zoezi hilo anaujua maana Busanda aliona unyama wa CCM.Sasa anajua ni wangapi wataipigia Chadema ni fumbo kumbwa maana hata JK hajui wangapi wataichagua CCM ila JK anajua uwezo wao wa kuiba kura na kulazimisha matokeo ni wa kiwango gani unlike Mbowe anaye ngojea fair play ambayo hatapewa .
Siku hizi kila chama ni adui, si wameshaua ule ushirikiano!Hivi CUF ndio wenyewe serikali? I thought wanaizika CCM.....
Ushirikiano upi? ulizikwa na kafu,Tlp,na Nccr, huko Tarime na sasa kila mtu kivyake vyake.Siku hizi kila chama ni adui, si wameshaua ule ushirikiano!