Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Kumbe neno "irrelevant" ni tusi?!
Hata mimi nashangaa! Nafikiri ni kutojua maana ya neno lenyewe vizuri! Tatizo la nchi sasa hivi karibia kila neno linaonekana ni tusi na uchochezi. Maneno kama BWEGE, KI.LA.ZA. MJINGA na sasa hata hilo Irrelevant ambalo ni kinyume cha Relevant yanaonekana ni tusi kwa baadhi ya watu na yanaweza kukupeleka mahakamani hatimaye kifungo au faini ya Mil 7
 
labda niandike kidogo,
mkuu hilo sibishi. hata mimi kimoyomoyo nasema hivyo hivyo kuwa Prof. angevuta subira kwanza. lakini kinachofanya nimsapoti Prof. ni hii tabia ya Seif iliyojengeka. alichokifanya sasa hivi ni marudio tu. alishakifanya kwa Aboud Jumbe kwa kupeleka maneno kwa mwl. nyerere na matokeo yake sote tunayafahamu kilichomkuta yule mzee. nilifikiri alishajifunza.
Prof. Lipumba ndo muasisi wa ukawa na ndo aliyemkaribisha mzee lowassa kuja ukawa. (na siamini kama kweli kuondoka kwa Lipumba kuna uhusiano wowote na Lowassa, sema tu ilikuwa justifcation, maana ukweli ndo unasemwa sasa hivi) kilichomfanya ajiuzulu ni ile kuzungukwa na seif. yeye anajua wako na seif pamoja kumbe mwenzie anamzunguka. anaenda kwenye vikao yeye akiwa kama kwenyekiti wa ukawa na Dr. slaa katibu anashangaa anapewa habari za chama chake na akina mbowe. hii kiukweli ni dharau ya hali ya juu. kama kuna kitu seif alitaka kwa nini asimuambie Lipumba na wakawa na msimamo wa pamoja kama chama ili kulinda hata kama ni masilahi ya chama? siamini kama kweli Prof. angekataa ukizingatia wamefanya kazi pamoja kwa zaidi ya miaka 20.
ndo maana binafsi na kwa sauti naona anachofanya Prof. ni sawa kabisa hasa kwa aina ya mtu mwenyewe (seif) na tabia zake za ovyo mpaka hata katika umri ule.

Labda unasahau kwamba Lipumba alikuwa ndo Mwenyekiti wa CUF, alikuwa ndo kiongozi mkuu wa chama kama hayo unayosema ni ya kweli kwanini hakuita Baraza kuu nakueleza anayoyatenda Katibu wake? alikuwa na nyenzo zote at his disposal kujiuzuru haikuwa option muafaka kulimaliza hilo analodai kufanyiwa, anauhakika gani kama sasa hatakuwa sidelined tena? kwa sababu hali aliyo iacha ndo hiyo hiyo iliyopo mpaka sasa. Huyu alisaliti chama katika wakati mgumu sana alikuwa na lengo mahususi, kwa kuwa hilo lengo halikutimia sasa ndo anarudi tena kutimiza lengo lake.
 
Profesa amesoma sana mpaka akili zimemwagika zote amebaki na cover tu la uprofesa
 
“ Genuine, unequivocal truth renders all egoistic behavior irrelevant.."
 
lipumba in irrelevant kwenye dili lao...MTU mwema in irrelevant kwenye genge la mafisadi.
 
Labda unasahau kwamba Lipumba alikuwa ndo Mwenyekiti wa CUF, alikuwa ndo kiongozi mkuu wa chama kama hayo unayosema ni ya kweli kwanini hakuita Baraza kuu nakueleza anayoyatenda Katibu wake? alikuwa na nyenzo zote at his disposal kujiuzuru haikuwa option muafaka kulimaliza hilo analodai kufanyiwa, anauhakika gani kama sasa hatakuwa sidelined tena? kwa sababu hali aliyo iacha ndo hiyo hiyo iliyopo mpaka sasa. Huyu alisaliti chama katika wakati mgumu sana alikuwa na lengo mahususi, kwa kuwa hilo lengo halikutimia sasa ndo anarudi tena kutimiza lengo lake.
tatizo lako tayari una msimamo kwa hiyo huwezi elewa kilicho kinyume chake. hayo niliyoyaandika Seif anakiri na Lipumba anakiri. sijaelewa kwa nini unabisha mpaka kauli za wahusika wenyewe. Lipumba amerudi kutokana na kuombwa na wanachana. ndo maana Seif hawezi jaribu hata kidogo kuitisha mkutano wa baraza kuu maana anajua fika itakula kwake. Kujiuzulu kwa Lipumba ni ustaarabu tu kwa sababu wamefanya kazi na Seif kwa mudamrefu. nao ni binaadamu pia. elewa hilo.
 
Kweli mkuu hujamsikia Prof. akisema Maalim na Mbowe walikuwa wanamzunguka, wanapanga mipango ya UKAWA bila kumshirikisha?
Walijua nilazima atawasariti ndo mana wakamla kisogo. Alafu wao ndo walikuwa wagombea
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!
umeumia? hivi unakumbuka dhihaka na matusi mlivyo mtusi Lowasa na bado mnaendelea mbona hukujitokeza kusema?
ni bora uloge kuliko kuwa mnafiki,
 
Propesa kajivua nguo wenyewe na kutembembea barabarani
 
Back
Top Bottom