Mbowe kamkosea heshima Lipumba

Mbowe kamkosea heshima Lipumba

waachie ukawa wenyewe wajadili waone kama mwenyekiti wao msaliti au laa!
Chadema hawajalalamika unalalamika wewe hiyo ndio tabia mmerithi kwa anayelalamika kuhusu kuzima mitandao

Nyie mbona mmedandia ya CUF? Kwa nini msiwaache wenyewe?
 
Jamani acheni maneno yenu kama mnaona hamna hoja si mkae kimya ? Hivi unaweza linganisha kifo na usingizi ? Yaani mbowe awe msaliti kwa ajili ya mpira na mh mwigulu ?? Siasa au demokrasia sio uadui ! Kwani mbowe na mwigulu waligombea kiti ikimoja ? Wana haki ya kusalimiana sio kama nyie manyumbu wenye fikra finyu !! UKAWA na ccm ni waelewa sana ! Siasa ni mara moja kwa miaka 5 ila mpira kila siku upo
 
..Ok.

..lakini mimi kwa mtizamo wangu this was not the right time kwa Prof kurejea ktk nafasi ya mwenyekiti.

..ngoja tuone mwisho wa huu mgogoro.

..kuna hatari kubwa kwa cuf kuvunjika.


..kazi ya kujenga chama upya siyo rahisi.

.
labda niandike kidogo,
mkuu hilo sibishi. hata mimi kimoyomoyo nasema hivyo hivyo kuwa Prof. angevuta subira kwanza. lakini kinachofanya nimsapoti Prof. ni hii tabia ya Seif iliyojengeka. alichokifanya sasa hivi ni marudio tu. alishakifanya kwa Aboud Jumbe kwa kupeleka maneno kwa mwl. nyerere na matokeo yake sote tunayafahamu kilichomkuta yule mzee. nilifikiri alishajifunza.
Prof. Lipumba ndo muasisi wa ukawa na ndo aliyemkaribisha mzee lowassa kuja ukawa. (na siamini kama kweli kuondoka kwa Lipumba kuna uhusiano wowote na Lowassa, sema tu ilikuwa justifcation, maana ukweli ndo unasemwa sasa hivi) kilichomfanya ajiuzulu ni ile kuzungukwa na seif. yeye anajua wako na seif pamoja kumbe mwenzie anamzunguka. anaenda kwenye vikao yeye akiwa kama kwenyekiti wa ukawa na Dr. slaa katibu anashangaa anapewa habari za chama chake na akina mbowe. hii kiukweli ni dharau ya hali ya juu. kama kuna kitu seif alitaka kwa nini asimuambie Lipumba na wakawa na msimamo wa pamoja kama chama ili kulinda hata kama ni masilahi ya chama? siamini kama kweli Prof. angekataa ukizingatia wamefanya kazi pamoja kwa zaidi ya miaka 20.
ndo maana binafsi na kwa sauti naona anachofanya Prof. ni sawa kabisa hasa kwa aina ya mtu mwenyewe (seif) na tabia zake za ovyo mpaka hata katika umri ule.
 
..mwenendo wa Prof.Lipumba hivi karibuni ndiyo unaosababisha adharauliwe na kuvunjiwa heshima.

..hata marafiki zake kama Mohamed Said wanamshangaa kwa haya mambo anayoyafanya.

..Prof angekaa pembeni na wenzake ktk cuf kama wangemhitaji wangemuomba arudie ktk nafasi ya mwenyekiti. Lakini siyo yeye Prof kuanza kuleta vurugu na mifarakano ktk chama.
Mimi nataka nishangae lakini nashindwa kushangaa.
Prof. anaandika barua ya kujiuzulu wakati chama chao kimo kwenye uchaguzi. Uchaguzi wa kihistoria.
Yeye na Dr. Slaa wanampigia kampeni mgombea wa CCM, Prof. kimatendo na Dr,. Kwa matendo na kauli kwenye press na press conferences.

Baada ya ya kupita miezi 11 ameona, CUF haikudhoofika kama alivyotegemea au kama alitumwa, waliomtuma wanaiona CUF na UKAWA bado ni tishio kwao.

Kwa akili ya mtu wa elimu yake, huwezi kuandika barua ya pili kutengua "kujiuzu" huku kukiwa na uongozi uliopewa jukumu la kutekeleza majukumu aliyoyakimbia katikati ya vita. Pia aliahidi kubakia mwanachama wa kawaida tu.

Prof. kwa kweli simwelewi kabisa kama ambavyo simwelewi Dr. aliyeandika thesis kwa ung'eng'e lakini anashindwa kutema ung'eng'e mpaka inalazimu awakilishwe au aitukuze na kuikuza lugha ya wavaa vibaragashia.

Au prof. anafanya, anataka kufanya biashara inayolipa na mkulu kama ambavyo Cheyo na Mrema wamejidhihirisha?
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!

Mbowe angekaa kimya ingekuwa na busara zaidi ,kitendo cha kumsema lipumba hadharani ,kitazidi kutengeneza mashambulizi kutoka kwa wafuasi wa lipumba na hiyo itajidhihirisha uhalali wa lipumba kurudia kiti chake ,kuna sababu za msingi ,
Nani asiyejua ,jinsi Cuf walivyokosa ubunge kwA kutokuheshimu makubuliano yao kwenye baadhi ya maeneo kama segera
 
labda niandike kidogo,
mkuu hilo sibishi. hata mimi kimoyomoyo nasema hivyo hivyo kuwa Prof. angevuta subira kwanza. lakini kinachofanya nimsapoti Prof. ni hii tabia ya Seif iliyojengeka. alichokifanya sasa hivi ni marudio tu. alishakifanya kwa Aboud Jumbe kwa kupeleka maneno kwa mwl. nyerere na matokeo yake sote tunayafahamu kilichomkuta yule mzee. nilifikiri alishajifunza.
Prof. Lipumba ndo muasisi wa ukawa na ndo aliyemkaribisha mzee lowassa kuja ukawa. (na siamini kama kweli kuondoka kwa Lipumba kuna uhusiano wowote na Lowassa, sema tu ilikuwa justifcation, maana ukweli ndo unasemwa sasa hivi) kilichomfanya ajiuzulu ni ile kuzungukwa na seif. yeye anajua wako na seif pamoja kumbe mwenzie anamzunguka. anaenda kwenye vikao yeye akiwa kama kwenyekiti wa ukawa na Dr. slaa katibu anashangaa anapewa habari za chama chake na akina mbowe. hii kiukweli ni dharau ya hali ya juu. kama kuna kitu seif alitaka kwa nini asimuambie Lipumba na wakawa na msimamo wa pamoja kama chama ili kulinda hata kama ni masilahi ya chama? siamini kama kweli Prof. angekataa ukizingatia wamefanya kazi pamoja kwa zaidi ya miaka 20.
ndo maana binafsi na kwa sauti naona anachofanya Prof. ni sawa kabisa hasa kwa aina ya mtu mwenyewe (seif) na tabia zake za ovyo mpaka hata katika umri ule.

Lowasa alikuwa anamvuta pembeni anamlainisha kwa 200m ili azidi kulegea
 
Lipumba anajaribu kudhoofisha UKAWA na CUF kwa niaba ya CCM.Hata Mrema kampongeza kwa kazi hiyo.
 
Jamani acheni maneno yenu kama mnaona hamna hoja si mkae kimya ? Hivi unaweza linganisha kifo na usingizi ? Yaani mbowe awe msaliti kwa ajili ya mpira na mh mwigulu ?? Siasa au demokrasia sio uadui ! Kwani mbowe na mwigulu waligombea kiti ikimoja ? Wana haki ya kusalimiana sio kama nyie manyumbu wenye fikra finyu !! UKAWA na ccm ni waelewa sana ! Siasa ni mara moja kwa miaka 5 ila mpira kila siku upo

Ulimsikia lakini leo akimsema LIPUMBA ASIPEWE USHIRIKIANO ,NA HUKO NYUMA ALISHAAWAHI KUSEMA HIVYO HIVYO WABUNGE WA CCM WASIPEWE USHIRIKIANO, kesho kutwa ukimkuta yupo meza moja na lipumba utasema nin
 
Kweli mkuu hujamsikia Prof. akisema Maalim na Mbowe walikuwa wanamzunguka, wanapanga mipango ya UKAWA bila kumshirikisha?
katika maisha ukiwa na mambo ya ajabu ajabu hata ndugu zako hawakushirikishi mambo Fulani Fulani,hata mpemzi wako au mke wako au Mme wako waweza kupigwa chini
 
Ukweli ni muhimu ukasemwa...

Sijamsikia hata mara moja Prof Lipumba akimnanga Mbowe hadharani pamoja na mikanganyiko yote ya kisiasa iliyosababishwa na Mbowe.

Leo hiinimemsikia Mbowe akimtukana Lipumba na kumuita "IRRELEVANT" hili ni tusi kwa lipumba ambaye ni muanzilishi mwenza wa UKAWA ORIGINAL .

BADO MBATIA SASA!

Kazi yake ya pili mliyomlipa ela haitofanikiwa

Profisa hahahaha
 
Back
Top Bottom