Mbowe kakimbia nini? tunaomba majibu

Mbowe kakimbia nini? tunaomba majibu

JK yupo USA anakula bata wakati huku kwetu watu wanateseka hata mlo wa siku umekuwa shida lakini raisi wa ccm kila siku yupo nje inauma sana kuchezea pesa zetu kwenye starehe za duniani wakati watu wanateseka bado polisi wanaendelea na uonevu wa hali ya juu kwenye maandamano ya haki ya CHADEMA uonevu una mwisho wake.
View attachment 188138
hawa watoto ipo siku MUNGU atawanuia ccm ni janga la taifa

Kama una mawazo hayo utakuja kufa kwa ugonjwa wa moyo kama ikitokea miujiza ya cdm kuongoza nchi..Fanya kazi kwa bidii ujiletee maendeleo hakuna chama chochote duniani kinachoingia madarakani kikanza kugawa hela kwa wanachama wake..waulize jirani hapo Kenya baada ya kuindoa KANU walijua wataishi paradiso lakini hadi Kibaki anaondoka madarakani ndio wakajua maana ya vyama vya siasa
 
Nivizuri umemwambia huyo kibaraka anayetumikia 7000/-kwa siku toka lumumba.

- Na huko South Africa nani anamlipia Dola 700 kwa siku hoteli ya kitalii nasikia ni Chadema pesa za walipa kodi, eti dnio wakombozi sijui wakombozi wa nini wakombozi my left foot!!

Le Mutuz
 
- Na huko South Africa nani anamlipia Dola 700 kwa siku hoteli ya kitalii nasikia ni Chadema pesa za walipa kodi, eti dnio wakombozi sijui wakombozi wa nini wakombozi my left foot!!

Le Mutuz
Mbona inakuuma sana mbowe kulala hotel ya dola 700 ulitaka uende kulala naye nn mbona JK anaenda marekani kila siku analalaga chini au
 
Kama una mawazo hayo utakuja kufa kwa ugonjwa wa moyo kama ikitokea miujiza ya cdm kuongoza nchi..Fanya kazi kwa bidii ujiletee maendeleo hakuna chama chochote duniani kinachoingia madarakani kikanza kugawa hela kwa wanachama wake..waulize jirani hapo Kenya baada ya kuindoa KANU walijua wataishi paradiso lakini hadi Kibaki anaondoka madarakani ndio wakajua maana ya vyama vya siasa

ccm nani atawapa kura wafu nyie
 
- Na huko South Africa nani anamlipia Dola 700 kwa siku hoteli ya kitalii nasikia ni Chadema pesa za walipa kodi, eti dnio wakombozi sijui wakombozi wa nini wakombozi my left foot!!

Le Mutuz
We mbuluravCHADEMA tunamlipia dolla za kimarekana 1200 kwa siku.

Tumemruhusu afanye mapumziko maalumu,

Vipi unataka tukulipie na wewe ukapumzike nae? Mbulurazz lijitu la kuchezea boxer za wanaume usa.
 
Mbona sasa hatuandamani, na muda wa kumalizika kwa bunge unakaribia
Hujawaona polisi wanavyoandamana kila kona za miji nchini? Wakiwazuia raia kuandamana ujue wao wataandamana tu
 
Back
Top Bottom