Mbowe kakimbia nini? tunaomba majibu

Mbowe kakimbia nini? tunaomba majibu

ligera

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2014
Posts
2,646
Reaction score
1,172
Kwa kadiri tunavyomfahamu mbowe alivyo king'ang'anizi wa mambo kila aliye mwanachama wa chadema hana majibu juu ya safari ya mbowe na ukimya wake.

Angekuwa mbowe kama wengi wanavyomwita mzee wa anga hakika yale maandamano aliyo yatangaza kabla ya kuondoka yangefanikiwa kwa kiasi kikubwa na leo tungekuwa tunazungumza mengine.

Utata uliopo ni juu ya safari yake kama ilikuwa planned au vinginevyo, tunaomba watu wa chama waje na majibu ya dhahili. Kwani yeye kiongozi kuondoka kimyakimya hasa katika kipindi hiki kigumu cha mapambano na katiba ya ccm hakiingii akilini hata kidogo.

Yeye anatangaza maandamano halafu anaondoka, anataka nani aandamane, nani hakutane na dhoruba ya polisi wasio kuwa na fedha katika kipindi hiki ambacho hawajapewa mishahara .Kila mtu anajua polisi anapokuwa na njaa anavyokuwa mkali.

Huku mitaani wanatuambia mbowe alipewa masaa 24 awe ameondoka nchini kwa sababu yeye ni kinara wa vurugu,wapo wanaodai mbowe ametoroka baada ya kutishwa .

Chama kije na majibu ya kututia moyo.
 
Kwa kadiri tunavyomfahamu mbowe alivyo king'ang'anizi wa mambo kila aliye mwanachama wa chadema hana majibu juu ya safari ya mbowe na ukimya wake.

Angekuwa mbowe kama wengi wanavyomwita mzee wa anga hakika yale maandamano aliyo yatangaza kabla ya kuondoka yangefanikiwa kwa kiasi kikubwa na leo tungekuwa tunazungumza mengine.

Utata uliopo ni juu ya safari yake kama ilikuwa planned au vinginevyo, tunaomba watu wa chama waje na majibu ya dhahili. Kwani yeye kiongozi kuondoka kimyakimya hasa katika kipindi hiki kigumu cha mapambano na katiba ya ccm hakiingii akilini hata kidogo.

Yeye anatangaza maandamano halafu anaondoka, anataka nani aandamane, nani hakutane na dhoruba ya polisi wasio kuwa na fedha katika kipindi hiki ambacho hawajapewa mishahara .Kila mtu anajua polisi anapokuwa na njaa anavyokuwa mkali.

Huku mitaani wanatuambia mbowe alipewa masaa 24 awe ameondoka nchini kwa sababu yeye ni kinara wa vurugu,wapo wanaodai mbowe ametoroka baada ya kutishwa .

Chama kije na majibu ya kututia moyo.

Mboe yupo jana nimemuona Protea hotel pale orstabay karibu na lile kanisa na Roman catholic
 
ameenda kula na bata na mama yako maandamano yapo pale pale yanaritibiwa na viongozi wahusika ..hakuna mwenye uwezo wa kushindana na nguvu ya umma CHADEMA DAIMA.
 
ameenda kula na bata na mama yako maandamano yapo pale pale yanaritibiwa na viongozi wahusika ..hakuna mwenye uwezo wa kushindana na nguvu ya umma CHADEMA DAIMA.

Mbona sasa hatuandamani, na muda wa kumalizika kwa bunge unakaribia
 
Kwa kadiri tunavyomfahamu mbowe alivyo king'ang'anizi wa mambo kila aliye mwanachama wa chadema hana majibu juu ya safari ya mbowe na ukimya wake.

Angekuwa mbowe kama wengi wanavyomwita mzee wa anga hakika yale maandamano aliyo yatangaza kabla ya kuondoka yangefanikiwa kwa kiasi kikubwa na leo tungekuwa tunazungumza mengine.

Utata uliopo ni juu ya safari yake kama ilikuwa planned au vinginevyo, tunaomba watu wa chama waje na majibu ya dhahili. Kwani yeye kiongozi kuondoka kimyakimya hasa katika kipindi hiki kigumu cha mapambano na katiba ya ccm hakiingii akilini hata kidogo.

Yeye anatangaza maandamano halafu anaondoka, anataka nani aandamane, nani hakutane na dhoruba ya polisi wasio kuwa na fedha katika kipindi hiki ambacho hawajapewa mishahara .Kila mtu anajua polisi anapokuwa na njaa anavyokuwa mkali.

Huku mitaani wanatuambia mbowe alipewa masaa 24 awe ameondoka nchini kwa sababu yeye ni kinara wa vurugu,wapo wanaodai mbowe ametoroka baada ya kutishwa .

Chama kije na majibu ya kututia moyo.
Mkuu nasikia aliambiwa awatangulize, baba mkwe wake mzee mtei, wanawe na mke wake kwenye maandamano ili wavionje virungu!!
Hilo likawa too much, jamaa akaamua kuulaza.
 
Mimi nadhani kilipanda unajua hawa watu mwezi mchanga ukifika tu anaweza kwenda kokote bila hata kuaga.
 
Mkuu nasikia aliambiwa awatangulize, baba mkwe wake mzee mtei, wanawe na mke wake kwenye maandamani ili wavionje virungu!!
Hilo likawa too much, jamaa akaamua kuulaza.
Ha ha ha ha ha ha,ingekuwa poa sana nila kusahau mke wa mbatia na lipumba.
 
Mboe yupo jana nimemuona Protea hotel pale orstabay karibu na lile kanisa na Roman catholic
Amerudi juzi usiku akitokea huko aliko kuwa jumamosi atakuwa na mandamano hai.
 
Hii ndiyo shida ya kuzaliwa mahali panapoimbwa amani. Unategemea wanaopanga mapambano wawe mstari wa mbele ili iweje?
 
Na Kikwete amekimbia nini ??????? Tunaomba majibu!

JK yupo USA anakula bata wakati huku kwetu watu wanateseka hata mlo wa siku umekuwa shida lakini raisi wa ccm kila siku yupo nje inauma sana kuchezea pesa zetu kwenye starehe za duniani wakati watu wanateseka bado polisi wanaendelea na uonevu wa hali ya juu kwenye maandamano ya haki ya CHADEMA uonevu una mwisho wake.
WATOTO+WETU.jpeg
hawa watoto ipo siku MUNGU atawanuia ccm ni janga la taifa
 
Mbona sasa hatuandamani, na muda wa kumalizika kwa bunge unakaribia

maandamano yanaendelea kila mahali pande zote nchini ARUSHA tupo kwenye maandalizi muda ukifika tunaingia hapo barabarani
 
Kwa kadiri tunavyomfahamu mbowe alivyo king'ang'anizi wa mambo kila aliye mwanachama wa chadema hana majibu juu ya safari ya mbowe na ukimya wake.

Angekuwa mbowe kama wengi wanavyomwita mzee wa anga hakika yale maandamano aliyo yatangaza kabla ya kuondoka yangefanikiwa kwa kiasi kikubwa na leo tungekuwa tunazungumza mengine.

Utata uliopo ni juu ya safari yake kama ilikuwa planned au vinginevyo, tunaomba watu wa chama waje na majibu ya dhahili. Kwani yeye kiongozi kuondoka kimyakimya hasa katika kipindi hiki kigumu cha mapambano na katiba ya ccm hakiingii akilini hata kidogo.

Yeye anatangaza maandamano halafu anaondoka, anataka nani aandamane, nani hakutane na dhoruba ya polisi wasio kuwa na fedha katika kipindi hiki ambacho hawajapewa mishahara .Kila mtu anajua polisi anapokuwa na njaa anavyokuwa mkali.

Huku mitaani wanatuambia mbowe alipewa masaa 24 awe ameondoka nchini kwa sababu yeye ni kinara wa vurugu,wapo wanaodai mbowe ametoroka baada ya kutishwa .

Chama kije na majibu ya kututia moyo.

Jk kakimbia nini kwenda usa?
 
Mboe yupo jana nimemuona Protea hotel pale orstabay karibu na lile kanisa na Roman catholic

Nivizuri umemwambia huyo kibaraka anayetumikia 7000/-kwa siku toka lumumba.
 
Mbona sasa hatuandamani, na muda wa kumalizika kwa bunge unakaribia

Kuandamana cdm wameandamana tayari kwa kuwatumia polisi huoni kilasiku wanashinda barabarani?nia ilikuwa kufikisha ujumbe kwa wahusika.
 
JK yupo USA anakula bata wakati huku kwetu watu wanateseka hata mlo wa siku umekuwa shida lakini raisi wa ccm kila siku yupo nje inauma sana kuchezea pesa zetu kwenye starehe za duniani wakati watu wanateseka bado polisi wanaendelea na uonevu wa hali ya juu kwenye maandamano ya haki ya CHADEMA uonevu una mwisho wake.
View attachment 188138
hawa watoto ipo siku MUNGU atawanuia ccm ni janga la taifa

Ukombozi upo karibu
 
Mboe yupo jana nimemuona Protea hotel pale orstabay karibu na lile kanisa na Roman catholic

Protea Hotel inamilikiwa na mvuja jasho Mbowe bila shaka alikwenda kuangalia kama kuna mikate imebaki ili awapelekee waandamanaji waliopo uwanja wa Taharir
 
Back
Top Bottom