Uchaguzi 2020 Mbowe kabugi step?

CDM wana strategy kali sana wee subiri utaona, unafikiri Mbowe anafanya mamboa bila akili? Yajayo mtafurahi.
Yaani strategy ipi tena safari hii nina imani itakuwa gear ya kwenye ngazi
FB_IMG_1591856563507.jpeg
FB_IMG_1592137524831.jpeg
 
Lissu alikuwa wa kwanza kutangaza nia, lakini baada yake ikawa kila mmoja anaibuka... hili limemvunja moyo Lissu usitegemee atakuja.

Tulimpamba kuwa ni yeye pekee, ona sasa..!!
Post yangu umeielewa au unakurupuka tu kwa kutaka kulazimisha unachokiwaza wewe ndio kiwe?Lisu ndiye jembe letu na je asipo kuja nini kitatokea?ni lazima tuwe na mbadala,mawazo yako ya kilumumba peleka huko huko lumumba,siku ikifika mtapata majibu.
 
Mbowe sio lazima awe yeye kuna watu pale kuna mnyika, kuna heche angalau ana shahada moja mbowe alitakiwa kuwa pembeni kabisa bora hata wamama wakina matiko, mdee au bulaya.
Unakurupuka tu, umeshasahau habari zako za uchaga!.
 
Lissu alikuwa wa kwanza kutangaza nia, lakini baada yake ikawa kila mmoja anaibuka... hili limemvunja moyo Lissu usitegemee atakuja.

Tulimpamba kuwa ni yeye pekee, ona sasa..!!
Comment kama hii ndio mtu anajua aina ya wapiga kelele mliojazana humu.

Kama Lissu alichukua form bila kujua taratibu bora asirudi.
 
CDM wana strategy kali sana wee subiri utaona, unafikiri Mbowe anafanya mamboa bila akili? Yajayo mtafurahi.
Strategy ipi wewe Tanapa?chadema ni mbowe,ana baraka zote toka Tengeru,tundu lissu anamjua nani,akagombee ACT huko
 
Kwa Mbowe, Fedha kwanza!

Ameshanusa fursa!

Mbowe kumchinjilia baharini Lissu ili apige mpunga mrefu wa CCM wala haoni hatari.

Mtu mwingine hatari hapa ni mzee Mtei, huenda huyu Mzee keshafuatwa na watu wa system ili atumie influnce yake kumkata Lissu, na huenda huyo mzee ambaye ni baba mkwe wake Mbowe wako pamoja na Mbowe katika nia yao ya kumkata Lissu!
 
Comment kama hii ndio mtu anajua aina ya wapiga kelele mliojazana humu.

Kama Lissu alichukua form bila kujua taratibu bora asirudi.

Bwashee ni lini Lissu kachukua fomu?

Hujui vitu sikiliza wakubwa acha porojo, hakuna mtia-nia chadema aliyechukua fomu.

Hata hivyo, ni lini basi atakuja na kuzunguka mikoani kusaka wadhamini.?
 
Back
Top Bottom