Mwenyekiti wa Chadema Freeman Mbowe tangu ameachiwa huru mazungumzo na mahubiri yake yamekuwa ni kuwaunganisha watanzania kuwa kitu kimoja na kuipenda nchi yao kwanza, amekuwa akisisitiza kuwa "siasa ni chombo tu cha kutufikisha kwenye matamanio yetu" hivyo itikadi zetu za kisiasa kamwe zisitigawe.
kwa mwendo huu ameanza vizuri, asije kupotoka mbele ya safari aende hivyo hivyo kwa msilahi ya watanzania.
Uzalendo, Amani na Haki.
kwa mwendo huu ameanza vizuri, asije kupotoka mbele ya safari aende hivyo hivyo kwa msilahi ya watanzania.
Uzalendo, Amani na Haki.