Magamba wanacheza na kamanda wa anga yuko safi ndio maana kikwete mara zote anamnukukuu, huyu sio wa kundi la zidumu fikra za mwenyekiti na zao kudumaa! Kamwe hatapinga kila kitu na mara zote mtu hapingani na kauli bali matendo sasa chukua muda umwone kamanda pale maneno ya kikwete yanapoenda kinyume cha matendo yake............................ Hiyo ni mahsine nyingine sio ya kujipendekeza kwa kikwete. Ni wazi ungelikuwa wewe mwenye fikra potofu sasa ungelikuwa house boy wa kikwete.
mkuu kukua huyu jamaa ni bure kabisa siku zote akiwa kwa jk anajifanya mwema akiwa kwenye majukwaa ya kisiasa analeta uchochezi ili apate sifa za kijinga.