Mbowe: Jk aungwe mkono na kila chama

Mbowe: Jk aungwe mkono na kila chama

tatizo la mbowe ni shule tu,lakin angekubali ushauri wa kujiendeleza walau kupitia QT nadhan angekuwa fit zaid.
 
tatzo la mbowe ni kama mbwa hana shukrani,amebaki na yale makengeza yake tu kama mzee mtei
 
Mbowe uwa napata shida kumuelewa!labda chanzo habari ni kipi?
 
Sasa kwani kuna cha ajabu?
Binadam siku zote huwa vigeugeu, Mbowe angesema Vyama visimuunge mkono wangesema Mbowe ni mvivu wa kufikiri sasa hivi katoa rai kwa vyama watu wanasema ni Kibaraka,"""!!
 
Mbowe ni mnafiki akiwa kwenye majukwaa anazungumza uchochezi lakini akikutana na viongozi wenzake anajifanya mwema hafai kanisani wala msikitini.
Yaan ww kichwa chako huwa kinawadudu sn tu kila nikuonapo unachangia lazima uwakusoe chadema ila utapata ujauzito wa chadema mda si mrefu
 
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, FREEMAN AIKAELI MBOWE ameviomba vyama vyote vya siasa kuunga mkono Hotuba ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ya kuvitaka vyama hivyo kutanguliza maslahi ya Taifa badala ya maslahi ya vyama vyao wakati wa Bunge la Katiba ambalo wajumbe wake watatangazwa na mh.Rais leo tarehe 07/02/2014 na kuanza rasmi vikao vyake tarehe 18/02/2014 mjini Dodoma.

no, it can't be! Mbowe hawezi kuwa ametamka haya.
not after JK clearly expressed his party's biased interest recently kwenye sherehe za CCM kule Mbeya.

kama ni kweli kamanda Mbowe umeyatamka haya then unaniangusha sana mwana mageuzi mwenzio, mkuu.
why are you not able to connect those clearly visible dots??
 
Maajabu ya vijana wa lumumba thread nzima wanahangia wao kujifariji.

Mbowe ni balaa ana watetemesha kweli!
 
Maajabu ya vijana wa lumumba thread nzima wanachangia wao kujifariji.

Mbowe ni balaa ana watetemesha kweli!
 
no, it can't be! Mbowe hawezi kuwa ametamka haya.
not after JK clearly expressed his party's biased interest recently kwenye sherehe za CCM kule Mbeya.

kama ni kweli kamanda Mbowe umeyatamka haya then unaniangusha sana mwana mageuzi mwenzio, mkuu.
why are you not able to connect those clearly visible dots??

mkuu soma habari vizuri, mbowe ameunga mkono kauli ya muheshimiwa ya kuvitaka vyama vya siasa kutoingiza agenda za kichama kwenye katiba, hili nalo ni la kushangaza? kwani kaunga mkono hutuba nzima?
 
vijana wa lumumba kabla hawaja weka thread wanapigian cm alafu wanaishambulia vya kutosha, vijana watatu kama mia tatu!? haki yao kulipwa.
 
kikubwa arudi darasani!

elimu siyo cheti mbwiga wewe, elimu inapimwa kwa application, utajifananisha wewe na Mbowe, umewaona kina Kitila Mkumbo, ni madokta lakini nini wamefanya, ndiyo elimu unayosema wewe au, achana na Mbowe, kile kichwa wewe, kama wewe kwa mbowe ndio tatu bila kabisa, huna hata hadhi ya kuongea naye, sababu hujitambui.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA taifa, FREEMAN AIKAELI MBOWE ameviomba vyama vyote vya siasa kuunga mkono Hotuba ya Rais wa jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dr. Jakaya Mrisho Kikwete ya kuvitaka vyama hivyo kutanguliza maslahi ya Taifa badala ya maslahi ya vyama vyao wakati wa Bunge la Katiba ambalo wajumbe wake watatangazwa na mh.Rais leo tarehe 07/02/2014 na kuanza rasmi vikao vyake tarehe 18/02/2014 mjini Dodoma.

Kama maneno halisi ya Mh. Freeman Mbowe yalikuwa "kumuunga mkono kwa ajili ya maslahi ya Taifa na si vyama" na SI VINGENEVYO, Cha ajabu ni nini hapo?
Au kwa sababu ni Upinzani kupinga hata mambo yenye tija?
 
Back
Top Bottom