Mbowe jiangalie; Lissu anakunanga kiaina!

Mbowe jiangalie; Lissu anakunanga kiaina!

Ni kauli tatu, Sorry!.

Hivi neno lead between the lines ulikuwa unataka kumaanisha READ BETWEEN THE LINES?CCM bwana eti na wao wanamtumia darasa la 7 B huyu kuleta propaganda!! hivi kwanini watoto wetu siku hizi hawajui kiingereza wala kiswahili? ni matatizo makubwa sana.huwezi kukuta bandiko la kijana aliko ccm ambalo halina matatizo.
 
Hizo ndio siasa ulizobuni huku jamii forum, kuwa gamba kazi kweli kweli, nenda field kawaeleze wananchi huo uchonganishi wako.
 
Alafu nimekufahamu ww uliye post! Waliokutuma waambie kazi ndo umeianza lakini umeshindwa huwezi kufanikiwa hata kidogo! Nafikiri nenda Nigeria kwanza alipokuwa bos wako Zitto ukatambike kwanza! Au mwambie Zitto akuonyeshe anaendaga kwa waganga wapi!!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Tundu Lissu ni mpangaji na mhamaji siku CDM ikiharibika hata ona aibu wala uchungu kuhama Likewise Lema
 
Ulipoandika "lead btn the lines" nikajua pasi na shaka, ya kuwa wewe ni kilaza! Hivyo sikuhitaji kupitia bandiko zima!

Uwezo wa kumudu lugha ni suala lililo katika ubongo! Na kutambua kuwa humudu lugha fulani hivyo kutumia ile unayomudu zaidi katika mawasiliano, ni suala lililo katika uwezo wa kupambanua mambo! Kwa muktadha huu basi sina shaka kuwa uwezo wako wa kupambanua mambo pia ni hafifu!

Pole mkuu; ila ni vyema ukaujua ukweli ili ujifunze kuishi nao!
 
Wasaliti ndani ya chadema wanajulikana, lisu ni mtu makini. sana
 
Olesaidimu naona umeamua kuibua lako. Nithibitishie kama hizo kauli hazijawahi kutolewa na Tundu Lissu.

Achana nae huyu jamaa,anataka mgogoro wa maneno tu.Hakuna ambaye hajakuelewa kaka...na tahadhari umeitoa kwa huyo Mwenyekiti wa CHADEMA..So achana na huyo Longishuu
 
Hiyo ni reasoning yako which is very poor...jaribu tena na tena.
 
Hivi lengo la uzi huu ni kujadili macho ya Mbowe?Itasaidia nini kushusha bei ya sembe dukani?Na kama ni uchonganishi basi maombi yanahitajika.
 
Back
Top Bottom