Mbowe jiangalie; Lissu anakunanga kiaina!

Mbowe jiangalie; Lissu anakunanga kiaina!

Trends za kauli za Tundu Lissu, tena za mfululizo ambazo amekuwa akizitoa hivi karibuni zina utata mwingi uliojificha.

Hivi karibuni Lissu ametoa kauli mbili tata kama ifuatavyo;
1: Wabunge wengi hawajui kingereza....
2: Mbowe hana shahada (degree) lakini hicho si kigezo kinachomwon
dolea sifa ya kuwa mwenyekiti chadema.......
3: Swala la Uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa kati ya Mwenyekiti (
Mbowe) na mbunge wake wa viti maalumu ni mambo binafsi.

Ukitafakari kauli hizi baada ya kusoma katikati ya mistari ( lead btn the lines) unagundua kwamba Tundu Lissu ameibua kamtindo ka kumnanga Mwenyekiti wake kiaina.

Ni dhahiri kuwa kauli za Lissu dhidi ya Mwenyekiti zinalenga kumbomoa na wala si kumjenga/kumsafisha.

Itakumbukwa pia Lissu ameongoza matukio mengi sana huko nyuma yaliyotokana na ushauri wake ambayo kimsingi yamekibomoa mno chadema. Mfano mzuri ni tukio la wabunge wa chadema kutoka nje ya bunge wakati Kikwete akihutubia bunge na mengine mengi.

Hali inanisukuma kuamini kuwa Lissu si mtu mwema ndani ya chadema (i stand to be rectified any how) na kwamba nia yake sasa ni kuanza kujijenga kwa kasi kuliko chama na Mwenyekiti wake.

My take: Mbowe mwangalie Lissu kwa macho matatu makali (ingawa ana macho matatu tayari- kengeeeeeeeeeeeeeeeeeeza's +ubongo = 4.
Kumekucha tena...
 
Ni kweli kazitoa na inajulikana kazitoa!!!!
Dhumuni lako kuzifufua ni lipi???!!

sidhani kama kuna ubaya wa kuzifufua fikra sahihi za kiongozi. Pia kuna uwezekano wengi hatujazisikia kauli hizo hivyo ametusaidia. Ila kukwazika kwako kunaonyesha kutokukubalina na kauli hizo na hiyo inamaanisha kuna fukuto ndani ya chama, if i read you correctly!
 
Si busara kukosoa Uumbaj wa MUNGU

hakuna aliependa azaliwe albino

lkn uwezo wa mtu....usihukumiwe kwa uumbaj wa MUNGU
 
Bora ID yako ungeiita "KUJAZA MINYOO TUMBONI HESHIMA",maana haya unayoyanya hapa si bure! Kuna kitu hakiko sawa mwilini mwako.Minyoo noma!
 
"lead btn the lines" Hii sentensi imeleta maana tofauti kabisa na uliyo taka kusema.
 
Trends za kauli za Tundu Lissu, tena za mfululizo ambazo amekuwa akizitoa hivi karibuni zina utata mwingi uliojificha.

Hivi karibuni Lissu ametoa kauli mbili tata kama ifuatavyo;
1: Wabunge wengi hawajui kingereza....
2: Mbowe hana shahada (degree) lakini hicho si kigezo kinachomwon
dolea sifa ya kuwa mwenyekiti chadema.......
3: Swala la Uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa kati ya Mwenyekiti (
Mbowe) na mbunge wake wa viti maalumu ni mambo binafsi.

Ukitafakari kauli hizi baada ya kusoma katikati ya mistari ( lead btn the lines) unagundua kwamba Tundu Lissu ameibua kamtindo ka kumnanga Mwenyekiti wake kiaina.

Ni dhahiri kuwa kauli za Lissu dhidi ya Mwenyekiti zinalenga kumbomoa na wala si kumjenga/kumsafisha.

Itakumbukwa pia Lissu ameongoza matukio mengi sana huko nyuma yaliyotokana na ushauri wake ambayo kimsingi yamekibomoa mno chadema. Mfano mzuri ni tukio la wabunge wa chadema kutoka nje ya bunge wakati Kikwete akihutubia bunge na mengine mengi.

Hali inanisukuma kuamini kuwa Lissu si mtu mwema ndani ya chadema (i stand to be rectified any how) na kwamba nia yake sasa ni kuanza kujijenga kwa kasi kuliko chama na Mwenyekiti wake.

My take: Mbowe mwangalie Lissu kwa macho matatu makali (ingawa ana macho matatu tayari- kengeeeeeeeeeeeeeeeeeeza's +ubongo = 4.

una matatizo mengi unatafuta pesa kwa mbinu chafu,pesa yenyewe buku saba
 
sidhani kama kuna ubaya wa kuzifufua fikra sahihi za kiongozi. Pia kuna uwezekano wengi hatujazisikia kauli hizo hivyo ametusaidia. Ila kukwazika kwako kunaonyesha kutokukubalina na kauli hizo na hiyo inamaanisha kuna fukuto ndani ya chama, if i read you correctly!


Unajua maana ya kunanga????!!!!
 
my pipoz tunachekesha kweli sometimes! muda si mrefu Tundu Lissu ataitwa msaliti kwa kuongea facts, tutaambiwa kapewa magari na mabilioni kedekede kumchafua Mwenyekiti, mara anapasua chama....kwa mtindo huu 2015 magamba yatakuwa palepale.
 
Wanaviziana hawa jamaa... Ila kwa kauli hizi hata kama zina ukweli mmmh!
 
trends za kauli za tundu lissu, tena za mfululizo ambazo amekuwa akizitoa hivi karibuni zina utata mwingi uliojificha.

Hivi karibuni lissu ametoa kauli mbili tata kama ifuatavyo;
1: Wabunge wengi hawajui kingereza....
2: Mbowe hana shahada (degree) lakini hicho si kigezo kinachomwon
dolea sifa ya kuwa mwenyekiti chadema.......
3: Swala la uhusiano wa kimapenzi nje ya ndoa kati ya mwenyekiti (
mbowe) na mbunge wake wa viti maalumu ni mambo binafsi.

Ukitafakari kauli hizi baada ya kusoma katikati ya mistari ( lead btn the lines) unagundua kwamba tundu lissu ameibua kamtindo ka kumnanga mwenyekiti wake kiaina.

Ni dhahiri kuwa kauli za lissu dhidi ya mwenyekiti zinalenga kumbomoa na wala si kumjenga/kumsafisha.

Itakumbukwa pia lissu ameongoza matukio mengi sana huko nyuma yaliyotokana na ushauri wake ambayo kimsingi yamekibomoa mno chadema. Mfano mzuri ni tukio la wabunge wa chadema kutoka nje ya bunge wakati kikwete akihutubia bunge na mengine mengi.

Hali inanisukuma kuamini kuwa lissu si mtu mwema ndani ya chadema (i stand to be rectified any how) na kwamba nia yake sasa ni kuanza kujijenga kwa kasi kuliko chama na mwenyekiti wake.

My take: Mbowe mwangalie lissu kwa macho matatu makali (ingawa ana macho matatu tayari- kengeeeeeeeeeeeeeeeeeeza's +ubongo = 4.
usiposemea humu palipojaa wapuuzi utasemea wapi?
 
Mbowe ana elimu ya Form Four kwa kuwa Form six hakupata kitu ( Alipata Zero) Kwa hiyo hatumtendei haki kusema ana elimu ya Form Six wakati huko alipata Sifuri i.e hakupata elimu hiyo, Elimu aliyonayo ni ile aliyofaulu ( Form four Lever).
 
usiposemea humu palipojaa wapuuzi utasemea wapi?

Na mpuuzi zaid ni yule anayenyanyua sauti kuita wenzie wapuuzi ndani ya nyumba ijulikanayo wanaishi wapuuzi!!!!!!!

Yaani anasukuma gari ambalo yeye yumo ndani!!!!!
 
wewe ni wakuogopwa kama ukoma- unapandikiza chuki tuache na cdm yetu
 
Back
Top Bottom