Lucas Mwashambwa
JF-Expert Member
- Jul 28, 2022
- 15,994
- 10,484
- Thread starter
- #61
Kuweka matusi hapa ni sawa na kuendelea kuyasambaza na kusambaza ujinga wake.na hivyo sote tutaonekana ni wajinga tusio na akili Timamu kama alivyo yeye.Weka matusi yake hapa tuyaone, halafu tukuonyeshe matusi ya kweli.