Kamanda Francis
JF-Expert Member
- Nov 30, 2013
- 834
- 140
Mwenyekiti wa Chadema Taifa Mh. Freeman Mbowe, akiwahutubia Maelfu ya Wakazi wa Kanda ya Ziwa na Jiji la Mwanza Kwenye Uwanja wa Furahisha Uliopo Jijini Mwanza Wakati wa Kukusanya Maoni ya Katiba Mpya alisema Chama haitalalamika tena hadharani Kuwa Kiliibiwa Kura Uchaguzi Mkuu Uliopita Kwa Sababu Kufanya hivyo ni Kudhihirisha Udhaifu. "Mimi Kama Mwenyekiti nasema Lugha ya Kukiri Kwamba tuliibiwa Kura ni Udhaifu na Ujinga. Mliibiwa Kura Mkiwa Wapi?... Nataka niwambie Kuwa hatutaibiwa Kura tena labda Sisi ndio tuibe" alisema Mbowe. Hata hivyo Mbowe aliwakumbusha Watanzania Nchini Kote kwamba Ulinzi wa Kura ni Jukumu la Kila Mwanachadema popote pale alipo. "Kumbukeni Kwamba Katika Ushindi wa Wenje (Nyamagana), Mnyika (Ubungo), Kiwia (Ilemela) Mdee (Kawe), Lissu (Singida), Lema (Arusha), Sugu (Mbeya), Ndesamburo (Moshi), Vincent Nyerere (Musoma), Msigwa (Iringa), Mimi Mwenyewe Mbowe (Hai) na Wengine wengi ilibidi yatumike Mabomu tena ya Kivita, lakini bado Wananchi Walilinda Kura zao". alisema Mbowe. PEOPLE'ZZZ..