Mlengo wa Kati
JF-Expert Member
- Feb 16, 2011
- 2,730
- 492
Mbowe mwaka 2015 huna mgombea wa Urais,rafiki yako Balozi wa Gongo Tanzania hawezi kushinda,wekeni nguvu kwenye majimbo
hivi kura hua zinaibiwaje , hii kauli nimekua nikiisikia lakini practicability yake nashindwa kuifikiria inakuaje, maana kama kura hua zinaibiwa basi kusingekuwepo na mbunge wa upinzani hata mmoja bungeni, waache kudanganya watu, mtu unashindwa fair and square unaleta porojo za kura kuibiwa