Mbowe: Haturudi nyuma

jisemee mwenyewe, hatujakupa kibali sisi kama wananchi kututolea tamko kwamba wote tunamkubali, acha ujesca ebooo!!!!

Wewe na nani , sema mimi cyo sisi. Magufuri jembeeeeeee. Mtanyooka tu. Itabidi mrudi longido mkachunge ng'.ombe.
 
Single ya Bungeni hailipi tena sasa wameamia mtaani.
All the best hope hii itawatoa maana ngosha anabana mnashindwa kushine komaeni bwana mshine kama zama za JK
 

mkuu inaonekana unalazimisha....kama anakubalika nguvu ya nn sasa?..nyie fanyeni kazi na wananchi tutaona sio kwa kusema sema hivi!!!!...tumia akili mkuu
 
Ulivyo kiazi mbatata uogopwe umekuwa nani.... Magu kawapiga ban kila kona hata hapa jf mtapigwa ban tu we subiri sijui mtauzia wapi upuuzi wenu....

Matusi au vijembe vya nini? Matusi hayasaidii nchi kupiga hatua. Watendee watanzania wenzako vile unapenda utendewe.
 
Jamani hawa watu waache ujinga nakutufanya Tanzania n wajinga muda wa kampeni ushaisha, naungana na porisi kukemea uchochezi unaotakwa kufanywa na CHADEMA mfano tu kahama ndo demokrasia imepokonywa au ndo wanajipaga na uchaguzi wa uraisi 2020 kwa sehemu walioganya vibaya 'sukuma land' kama hilivyo watu wa moshi na arusha hawana resons za kuishabikia CHADEMA!! Labda.'' ukabira'' na sisi wa sukuma land n hivyo hivyo hatuna resons waache kujidanganya , caution i write like lay man so dont judge my intellect na thinking capacity
 
Single ya Bungeni hailipi tena sasa wameamia mtaani.
All the best hope hii itawatoa maana ngosha anabana mnashindwa kushine komaeni bwana mshine kama zama za JK
 
ufipa hawaaminiki hawa kabisa usije kushangaa ns akagombea CHADEMA ..
 
ufipa yani kifo cha mende ndembe ndembe chali
 
hahahaha..kwani ameshawahi kuwa mbele kwenye jambo lolote?
 
Ukawa juuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuuu.............................................
 
Naona kwako watu wakifanya mambo kwa kuficha ficha uwa unaenjoy sana na kuona maisha yanaenda sawa
Mshaija toka bunge la bajeti lianze kuna habari ipi hujaisikia?
Wahaya mnadai nyie ni vichwa,yaani umeingia mkenge kuwaamini wasanii
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…