kina kirefu
JF-Expert Member
- Dec 14, 2018
- 11,732
- 13,208
endapo chadema imekufa kilapahala zile billion 28 nje ya bajeti ya uchaguzi ziliongezwa zann ?Hivi karibuni imezuka tabia ya kukwepa majukumu ambayo inapaswa kupingwa kwa hali na mali ndani ya nchi yetu.
Vyama vya upinzani hasa Chadema kila wanapopata matatizo kisingizio chao ni hayati rais Magufuli
Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app